Babylon
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 1,332
- 82
Mikutano ya chadema imekuwa ikivutiwa na watu wengi kama tunavyojionea katika Tv na magazeti pia tunajisomea habari kuwa baadhi ya wanacha wa ccm wanajinga chadema kama ni kweli hilo,lamuhimu zaidi ni kuelewa CCM ushidi wake upo kwenye kura na sio katika mikusanyiko ya wingi wa watu katika mikutano,siku zote wamekuwa wakisema hata wanachama wao huenda kwenye mikutano ya chadema sio kama wanakipenda hapa bali nikusiliza nini kinasemwa na chadema,mfano mdogo hata hapa zanzibar wakati wa uchaguzi uliopita Dk shein alisema mawakala wao walikwisha wambia watashinda lakini hawakuwambia watashinda kwa kiasigani matokeo yake kweli walishinda.hivi ni miongoni mwa sra za CCM wanapanga na kuona matokea in advance.