Poa 2
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,294
- 1,288
Mimi niko poa sijui watanganyika wenzangu,
Japo linaweza kunikutà lolote sasa na sekunde yeyote. Serikali ya Samia imejidhihirisha kwamba haitaki ushenzi kukosolewa kwenye mambo yanayohusiana na bandari.
Mama Samia sisi wakosoaji wako tunakuambia sawa tu, tunyonyoe utavyopenda lakini huwezi kuvuna pamba kwenye shamba la karafuu. CCM endeleeni na hii amani!
2015 na 2020 CHADEMA iliibiwa uchaguzi vibaya sana, katiba ikiwa Ile Ile, tume ya uchaguzi ikiwa Ile Ile, mfumo wa polisi ukiwa ule ule na uchama Dola uko vile vile na Leo mnatushawishi tuende kwenye uchaguzi tukiwa vile vile! Hivi na nyie CHADEMA mnatuonaje tunaowaunga mkono?
Kwa kweli kabisa Dkt. slaa amewaumiza sana kama chama hasa uchaguzi uliopita alitumia kama kondomu lkn kwa huu ukweli anao usimamia Leo kuhusu bandari zetu ni lazima tuangalie namna ya kumuunga mkono............. NINA MENGI SANA YA KUSEMA LKINI ITOSHE KUSEMA.
Kutumia njia zile zile zilizoshindwa huku tunategemea matokeo tofauti ni ujuha.
Japo linaweza kunikutà lolote sasa na sekunde yeyote. Serikali ya Samia imejidhihirisha kwamba haitaki ushenzi kukosolewa kwenye mambo yanayohusiana na bandari.
Mama Samia sisi wakosoaji wako tunakuambia sawa tu, tunyonyoe utavyopenda lakini huwezi kuvuna pamba kwenye shamba la karafuu. CCM endeleeni na hii amani!
2015 na 2020 CHADEMA iliibiwa uchaguzi vibaya sana, katiba ikiwa Ile Ile, tume ya uchaguzi ikiwa Ile Ile, mfumo wa polisi ukiwa ule ule na uchama Dola uko vile vile na Leo mnatushawishi tuende kwenye uchaguzi tukiwa vile vile! Hivi na nyie CHADEMA mnatuonaje tunaowaunga mkono?
Kwa kweli kabisa Dkt. slaa amewaumiza sana kama chama hasa uchaguzi uliopita alitumia kama kondomu lkn kwa huu ukweli anao usimamia Leo kuhusu bandari zetu ni lazima tuangalie namna ya kumuunga mkono............. NINA MENGI SANA YA KUSEMA LKINI ITOSHE KUSEMA.
Kutumia njia zile zile zilizoshindwa huku tunategemea matokeo tofauti ni ujuha.