Unadhani Dikteta Uchwara aliiba kura ngapi za Chadema ambazo zingewapa ruzuku kubwa zaidi?
Hupata ruzuku kutokana na uwakilishi bungeni, chadema kupata ruzuku ni haki yao kwani wana wabunge takribani kumi na ushee bungeni,labda tujue utaratibu wa kupata ruzuku ukoje kwa vyama vya siasa
Hupata ruzuku kutokana na uwakilishi bungeni, chadema kupata ruzuku ni haki yao kwani wana wabunge takribani kumi na ushee bungeni,
Chadema ingelikuwa ni chama safi na kinachojibainisha kutowatambua wabunge waliopo Bungeni kilistahili kugomea fedha hizo na kuziita fedha chafu, kinyume chake wamezipokea kama muhuri wa kuonyesha tunao uwakilishi bungeni.
Nawahurumia sana nyumbu za Chadema, hazisomi hata mwelekeo ulivyo!
Nyumbu ni wewe mwenyewe. Very stupidHupata ruzuku kutokana na uwakilishi bungeni, chadema kupata ruzuku ni haki yao kwani wana wabunge takribani kumi na ushee bungeni,
Chadema ingelikuwa ni chama safi na kinachojibainisha kutowatambua wabunge waliopo Bungeni kilistahili kugomea fedha hizo na kuziita fedha chafu, kinyume chake wamezipokea kama muhuri wa kuonyesha tunao uwakilishi bungeni.
Nawahurumia sana nyumbu za Chadema, hazisomi hata mwelekeo ulivyo! View attachment 2895114
Halafu wakisuasa? Uje utafute Chaka lingine la kuwaponda?. Mnajifanya mnauchungu na Ruzuku ya CHADEMA wakati CCM anayepokea bilioni 47 mnamlamba matako na kumsujudia. Very stupidKwani c walisusa? Ingekuwa wana msimamo wangekataa na hiyo uchaguzi c ulikuwa batili
Mwenye macho haambiwi Tazama, wanachapa kazi, ndiyo wanaoendesha serekali hasa kusimamia, Makonda anashuka mpaka kule ndani ndani kabisa kuona shida za watanzania na kujaribu kuikumbusha serekali juu ya madhaifu ili kuyamaliza hatuoni hata hili, chadema wao wakipata sijui hata nyie wajumbe makumbuka kwa vibendera vya Matawi...Na Ccm wanaojichotea mabilioni ya ruzuku inayotokana na wizi wa kura unaona hawastahili lawama na laana za wananchi?
Ungepewa nynyi musingepokea? Leta haja nyngin hy dhaifu sana kama misimamo ya chadema wazee wa kwenda na upepoHalafu wakisuasa? Uje utafute Chaka lingine la kuwaponda?. Mnajifanya mnauchungu na Ruzuku ya CHADEMA wakati CCM anayepokea bilioni 47 mnamlamba matako na kumsujudia. Very stupid
Ha ha ha, mnyika ameapa kuzi swaga nyumbu mpaka kieleweke kazi kwenu, miguu yenu banah, but time is money!Nyumbu ni wewe mwenyewe. Very stupid
Kwakweli hapa chadema ilisukumwa na njaa na siyo akili.Chadema ingelikuwa ni chama safi na kinachojibainisha kutowatambua wabunge waliopo Bungeni kilistahili kugomea fedha hizo na kuziita fedha chafu, kinyume chake wamezipokea kama muhuri wa kuonyesha tunao uwakilishi bungeni.
Mwenye macho haambiwi Tazama, wanachapa kazi, ndiyo wanaoendesha serekali hasa kusimamia, Makonda anashuka mpaka kule ndani ndani kabisa kuona shida za watanzania na kujaribu kuikumbusha serekali juu ya madhaifu ili kuyamaliza hatuoni hata hili, chadema wao wakipata sijui hata nyie wajumbe makumbuka kwa vibendera vya Matawi.
Chadema wanajitekenya na kucheka wao wenyewe!
Chadema ni genge la wahuni!
Chadema wamepojea bilioni 2.7 za ruzuku walizogomea kwa kutoutambua uchaguzi.
Sasa wamezipokea kimya kimya kwa mgongo wa nyuma.
Kisha wanayaswaga manyumbu yao eti kwenda UN!
Chadema ni wahuni watupu!
MGAWANYO HUWA UKOJEHupata ruzuku kutokana na uwakilishi bungeni, chadema kupata ruzuku ni haki yao kwani wana wabunge takribani kumi na ushee bungeni,
Chadema ingelikuwa ni chama safi na kinachojibainisha kutowatambua wabunge waliopo Bungeni kilistahili kugomea fedha hizo na kuziita fedha chafu, kinyume chake wamezipokea kama muhuri wa kuonyesha tunao uwakilishi bungeni.
Nawahurumia sana nyumbu za Chadema, hazisomi hata mwelekeo ulivyo! View attachment 2895114