Hao wanachama wa ccm ndio wataipigia kura chadema, nao wanaisoma namba vilevile. Watanzania wanahitaji mabadiliko ya maisha, hasa mifukoni. Huko kwingine (ndege, umeme, SGR, mifugale etc) kulikuwepo na kutaendelea kuwekezwa hata aje nani.
Si kweli wapinzani watauza screpa, ni mawazo mfu