Uchaguzi 2020 CHADEMA mkimsimamisha Lissu najiunga na chama chenu

Nilichepuka kidogo, nikarudi, nikakuta bado upo, na michepuko yangu inaendelea, sijatulia.

Ni hivi: tofauti ninayoiona kati yako na mimi ni hii moja tu, ambayo kwa bahati mbaya hujanitambua niko wapi, kutokana na mstari huo ulioweka hapo.
Siambatani na chama kama ulivyoambatana na CCM wewe. Mwambata wangu pekee na wa kudumu ni Tanzania pekee. Hiyo ndio tofauti yangu na wewe.
Niliwahi kuambatana sana na CCM wakati fulani pamoja na kwamba sikuwa mwanachama. Sasa hivi natamani wapinzani, bila kujali Lissu yupo au hayupo, watusaidie kutuondolea hili zimwi ambalo linajigeuza kiasi kwamba linataka hata kuzuia njia ya kuliondoa. Hii itakuwa balaa kubwa kwetu.

Wapinzani wakiingia, miaka mitano wakivuruga, watakuwa hawajajiimarisha hadi waweze kutuzuia kuwaondoa tukiamua kufanya hivyo.
Hiyo ni tofauti kubwa sana na kuiacha hii CCM ya mtu mmoja kuendelea kujiimarisha kutunyonga.
Mkuu Kalamu1 sio kuwa sijakuelewa unamaanisha nini. Ni hivi hata mie naamini katika Utanzania lakini tambua kuwa bado ni mwanachama wa CCM na kama tungesimamisha mtu makini na mwenye kujali utu na kusikiliza ushauri pengine hata hii mada nisingeandika.
Kama chama, nakubali CCM tulifanya makosa mengi huko nyuma lakini tulikuwa twaweza kukaa na kujadili wenyewe na hata wakati mwingine Rais aliwaita think tank wa upinzani kubadilishana mawazo.
Hakupata MTU kushambuliwa kimwili au kupotezwa. Lakini why Lissu? Kwa vile ndiye pekee anayeonekana anaweza leta mabadiliko, kuheshimu katiba, kutokuwa na visasi au chuki. Wengine ni yaleyale tuu na twaweza kurudi nyuma kwa kasi zaidi
 
Nilichepuka kidogo, nikarudi, nikakuta bado upo, na michepuko yangu inaendelea, sijatulia.

Ni hivi: tofauti ninayoiona kati yako na mimi ni hii moja tu, ambayo kwa bahati mbaya hujanitambua niko wapi, kutokana na mstari huo ulioweka hapo.
Siambatani na chama kama ulivyoambatana na CCM wewe. Mwambata wangu pekee na wa kudumu ni Tanzania pekee. Hiyo ndio tofauti yangu na wewe.
Niliwahi kuambatana sana na CCM wakati fulani pamoja na kwamba sikuwa mwanachama. Sasa hivi natamani wapinzani, bila kujali Lissu yupo au hayupo, watusaidie kutuondolea hili zimwi ambalo linajigeuza kiasi kwamba linataka hata kuzuia njia ya kuliondoa. Hii itakuwa balaa kubwa kwetu.

Wapinzani wakiingia, miaka mitano wakivuruga, watakuwa hawajajiimarisha hadi waweze kutuzuia kuwaondoa tukiamua kufanya hivyo.
Hiyo ni tofauti kubwa sana na kuiacha hii CCM ya mtu mmoja kuendelea kujiimarisha kutunyonga.
 
Mkuu Kalamu1 sio kuwa sijakuelewa unamaanisha nini. Ni hivi hata mie naamini katika Utanzania lakini tambua kuwa bado ni mwanachama wa CCM na kama tungesimamisha mtu makini na mwenye kujali utu na kusikiliza ushauri pengine hata hii mada nisingeandika.
Kama chama, nakubali CCM tulifanya makosa mengi huko nyuma lakini tulikuwa twaweza kukaa na kujadili wenyewe na hata wakati mwingine Rais aliwaita think tank wa upinzani kubadilishana mawazo.
Hakupata MTU kushambuliwa kimwili au kupotezwa. Lakini why Lissu? Kwa vile ndiye pekee anayeonekana anaweza leta mabadiliko, kuheshimu katiba, kutokuwa na visasi au chuki. Wengine ni yaleyale tuu na twaweza kurudi nyuma kwa kasi zaidi
Huko CCM kungekuwepo hata robo tu ya watu wa msimamo kama wako, taifa letu lisingekuwa na hatihati yoyote wakati huu.

Acha tusubiri kuona itakuwaje.
 
Mko wangapi kwanza? lol
Sina shaka wapo wengi sana huko CCM wakati huu kama huyu ndugu.

Tatizo ni moja tu, maslahi binafsi yanayotokana na kuwa ndani ya CCM ---, bila CCM watakula wapi!

Lakini ukiniambia sasa hivi kwamba mtu kama Kinana, mtu kama Warioba, Butiku, na hata akina Kikwete siku ya siku hiyo Oktoba watatoka kwa moyo mkunjufu na wafuraha kabisa kwenda kuipigia kura CCM iendeleze haya yaliyoonekana tokea 2015, itakuwa vigumu kwangu kukuamini mkuu 'Rebecca.'

Hali ipo hivyo, wengi watafumba tu macho na kusema, watafanyaje?
 
Kwa misimamo hii ya baadhi ya wanaccm Nina mashaka sana na ugumu wa kampeni kwa Magu utakavyo kuwa.
Kuna maasi makubwa sana ndani ya ccm, "wajumbe" wametuonyesha kuwa yale atakayo magu sio wayakayo wanaccm na wamemfundisha maana ya neno KA-TAA
 
Mimi ni mwanachama wa CCM. Sio mwanachama maslahi au mwanachama fuata upepo, la hasha Bali mwanachama mwanzilishi hata kama nilijiunga 1978 mwaka mmoja tokea ianzishwe.

Ninafuatilia sana siasa za chama chetu, lakini niseme wazi kuwa tokea mwaka 2016 muda tuu baada ya awamu ya tano kushika hatamu CCM yetu imepotea na kuja kikundi cha aina Fulani kuigeuza CCM yetu kutoka chama chenye heshima na utu na kuwa cha kihuni, uongo na tabia za kihalifu.

Shuhudia chaguzi za serikali yetu na sasa chaguzi zetu za ndani ya chama! Ni uhuni na rushwa ya hali ya juu haijapata kutokea tangu chama kianze.

Uongo ndio usiseme, ona tunabuni mpaka kupanga watu kutoa zawadi eti za jogoo njiani kwa Rais? Kweli Rais anaweza kupewa tuu barabarani jogoo na akampokea mikononi bila kujulikana usalama wa zawadi hiyo?

Sasa kwa ujinga unaoendelea kwa chama changu natangaza rasmi binafsi kujiunga na Chadema kama watamsimamisha Tundu Lissu kugombea Urais ili nimpe kura yangu.

Nategemea wengi ndani ya CCM wataniunga mkono kwa sababu za Lissu zifuatazo;

*Anaheshimu Katiba na sheria.
*Sio muongo anapenda ukweli
*Ana uelewa mkubwa wa ndani na nje ya nchi.
*Anaheshimu Utu wa mwanadamu
*Hana roho ya visasi.

OMBI;
Tanzania ni yetu, kuiacha tena miaka mitano mingine ipotee kama hii iliyopita ni kuitafuta laana ya vizazi vijavyo. Tuungane tufanye mabadiliko chanya, vyama ni vya kupita tuu lakini taifa lipo palepale. Chadema watuletee Lissu nasi tumpe kura.
Wasalaam aleikum!

View attachment 1522282
hakika umeongea vyema. nakuunga mkono
 
Kwa wale wanaccm wanaojitambua, Leo mchakato wa kuwapatia mumpendae unaanza. Tutawapeni Lissu kwa ajili ya kura zenu.
MUHIMU;
Huna haja eti ya kutafuta kadi ya Chadema, kitambulisho chako cha mpiga kura tuu kinatosha kukuletea maisha bora yasiyo na mashaka kama ya sasa kwa kumnyima Jiwe kura.
Kura zinapokuwa nyingi za kumkataa hata mbinu za kuiba zinakuwa ngumu mno
 
Nadhani Chadema wakimuweka Lissu, uchaguzi wa mwaka huu utakuwa mkali kuliko ule wa 2015. Kwa sababu, uchaguzi uliopita watu walikuwa hawajamjua vzr kiongozi aliyepo sasa na style yake ya uongozi, ila kwa sasa jinsi watu walivyochapika kazi itakuwepo. Pia Tundu Lissu ni mtu ambaye hana kashafa yeyote ikiwemo usaliti. Ni mtu ambaye amejipambanua kwa wengi kama ni mtetea umma na msema kweli asiyependa uonevu na mtetezi wa katiba na sheria. Pia kinachotia chachu ziaidi ni uwezo mkubwa wa kujieleza na kujenga hoja kitu ambacho Mzee Lowasa mwaka 2015 hakuwa nacho kabisa. Maana ilifika mahali Lowasa hata kusimama na kusema sentensi 5 ilikuwa ni shida. Yeye aliishia tu kusema "wangapi watanipa kura? Asanteni".

.. Nawasihi na Kuwaomba sn Chadema, wananchi wapo tayar na wanahitaji mabadiriko ya kweli, Tundulisu ni mwenzenu na mpambanaji wa miaka mingi na hajawahi kukisaliti chama na mnajua uwezo wake. Mtaji wa siasa ni watu na uwezo wa kuwashawshi na wala sio pesa. Msiache mbachao kwa msala upitao. Hao waliotoka CCM, wameangalia tu fursa kwamba kwa vile kule wameharibu au kutimuliwa basi wameona huku ndio kimbilio. Kama wasingefukuzwa au kuharibu kule, leo bado wangekuwa CCM na wangeendelea Kukiponda Chadema. Ni muhimu waendelee kujifunza. Na ndio maana msipowapa tu nafasi wanatudi walipotoka. Mjifunze kwa yaliyopita uchaguzi wa 2015. Mpeni nafasi hiyo Tundu Lissu kwa sasa. Macho na maskio yao yote ya watz yapo kwake. Nyarandu hana mvuto alionao Lissu kwa sasa. Pia naomba niwashauri kuangalia mazingira ya kuungana na vyama vingine makini mfanye kampeni za pamoja. Huu mwaka mzuri.
 
Mimi ni mwanachama wa CCM. Sio mwanachama maslahi au mwanachama fuata upepo, la hasha Bali mwanachama mwanzilishi hata kama nilijiunga 1978 mwaka mmoja tokea ianzishwe.

Ninafuatilia sana siasa za chama chetu, lakini niseme wazi kuwa tokea mwaka 2016 muda tuu baada ya awamu ya tano kushika hatamu CCM yetu imepotea na kuja kikundi cha aina Fulani kuigeuza CCM yetu kutoka chama chenye heshima na utu na kuwa cha kihuni, uongo na tabia za kihalifu.

Shuhudia chaguzi za serikali yetu na sasa chaguzi zetu za ndani ya chama! Ni uhuni na rushwa ya hali ya juu haijapata kutokea tangu chama kianze.

Uongo ndio usiseme, ona tunabuni mpaka kupanga watu kutoa zawadi eti za jogoo njiani kwa Rais? Kweli Rais anaweza kupewa tuu barabarani jogoo na akampokea mikononi bila kujulikana usalama wa zawadi hiyo?

Sasa kwa ujinga unaoendelea kwa chama changu natangaza rasmi binafsi kujiunga na Chadema kama watamsimamisha Tundu Lissu kugombea Urais ili nimpe kura yangu.

Nategemea wengi ndani ya CCM wataniunga mkono kwa sababu za Lissu zifuatazo;

*Anaheshimu Katiba na sheria.
*Sio muongo anapenda ukweli
*Ana uelewa mkubwa wa ndani na nje ya nchi.
*Anaheshimu Utu wa mwanadamu
*Hana roho ya visasi.

OMBI;
Tanzania ni yetu, kuiacha tena miaka mitano mingine ipotee kama hii iliyopita ni kuitafuta laana ya vizazi vijavyo. Tuungane tufanye mabadiliko chanya, vyama ni vya kupita tuu lakini taifa lipo palepale. Chadema watuletee Lissu nasi tumpe kura.
Wasalaam aleikum!

View attachment 1522282
kwa kauli hii na uandishi huu mkuu nami niseme sijawi kua na chama but for the first time naweza chukua kadi ya chadema mda wowote ngoja nimuombe roho mtakatifu aniongoze kwa hili ,balikiwa sana mkuu
 
Mleta Ni like Chadema time la siku nyingi nalijua hili .Mada zake nyingi Ni za kusifia Chadema sio chama kingine kiwe CCM au chochote
Amewahadaa watu sana kwa post hii huyu mchadema. Lakini kwangu ni big NO. Maandishi ya wanachadema wote yanafanana. Kwa maana hiyo basi akawahadae wasiojielewa na propaganda zake za kizamani. Mtoa Mada ni Lichadema la miaka yote. Na halijawahi kuwa CCM ...
 
Mimi ni mwanachama wa CCM. Sio mwanachama maslahi au mwanachama fuata upepo, la hasha Bali mwanachama mwanzilishi hata kama nilijiunga 1978 mwaka mmoja tokea ianzishwe.

Ninafuatilia sana siasa za chama chetu, lakini niseme wazi kuwa tokea mwaka 2016 muda tuu baada ya awamu ya tano kushika hatamu CCM yetu imepotea na kuja kikundi cha aina Fulani kuigeuza CCM yetu kutoka chama chenye heshima na utu na kuwa cha kihuni, uongo na tabia za kihalifu.

Shuhudia chaguzi za serikali yetu na sasa chaguzi zetu za ndani ya chama! Ni uhuni na rushwa ya hali ya juu haijapata kutokea tangu chama kianze.

Uongo ndio usiseme, ona tunabuni mpaka kupanga watu kutoa zawadi eti za jogoo njiani kwa Rais? Kweli Rais anaweza kupewa tuu barabarani jogoo na akampokea mikononi bila kujulikana usalama wa zawadi hiyo?

Sasa kwa ujinga unaoendelea kwa chama changu natangaza rasmi binafsi kujiunga na Chadema kama watamsimamisha Tundu Lissu kugombea Urais ili nimpe kura yangu.

Nategemea wengi ndani ya CCM wataniunga mkono kwa sababu za Lissu zifuatazo;

*Anaheshimu Katiba na sheria.
*Sio muongo anapenda ukweli
*Ana uelewa mkubwa wa ndani na nje ya nchi.
*Anaheshimu Utu wa mwanadamu
*Hana roho ya visasi.

OMBI;
Tanzania ni yetu, kuiacha tena miaka mitano mingine ipotee kama hii iliyopita ni kuitafuta laana ya vizazi vijavyo. Tuungane tufanye mabadiliko chanya, vyama ni vya kupita tuu lakini taifa lipo palepale. Chadema watuletee Lissu nasi tumpe kura.
Wasalaam aleikum!

View attachment 1522282
Karibu Ndugu Mshangai huku chadema ni raha tupu tunakula pesa za haki. Hatutegemei kuroga? Kuteka au kuua kujiongezea kipato na madaraka. Huku wanachama na viongozi never regret their actions.

Tundu Lissu ndio Chaguo la watanzania kwa sasa. Ukubali ukatae huo ndio ukweli. Hata vyombo vya ulinzi na usalama vinajua hilo.
 
Mkuu hilo lipo wazi na Hesabu kuwa limetimia kwa mh Lissu kuwa mpeperusha bendera wa cdm, maana tunajua kuwa yeye ndiye kiongozi anaye kubalika hapa nchini kwa sasa.
Mimi ni mwanachama wa CCM. Sio mwanachama maslahi au mwanachama fuata upepo, la hasha Bali mwanachama mwanzilishi hata kama nilijiunga 1978 mwaka mmoja tokea ianzishwe.

Ninafuatilia sana siasa za chama chetu, lakini niseme wazi kuwa tokea mwaka 2016 muda tuu baada ya awamu ya tano kushika hatamu CCM yetu imepotea na kuja kikundi cha aina Fulani kuigeuza CCM yetu kutoka chama chenye heshima na utu na kuwa cha kihuni, uongo na tabia za kihalifu.

Shuhudia chaguzi za serikali yetu na sasa chaguzi zetu za ndani ya chama! Ni uhuni na rushwa ya hali ya juu haijapata kutokea tangu chama kianze.

Uongo ndio usiseme, ona tunabuni mpaka kupanga watu kutoa zawadi eti za jogoo njiani kwa Rais? Kweli Rais anaweza kupewa tuu barabarani jogoo na akampokea mikononi bila kujulikana usalama wa zawadi hiyo?

Sasa kwa ujinga unaoendelea kwa chama changu natangaza rasmi binafsi kujiunga na Chadema kama watamsimamisha Tundu Lissu kugombea Urais ili nimpe kura yangu.

Nategemea wengi ndani ya CCM wataniunga mkono kwa sababu za Lissu zifuatazo;

*Anaheshimu Katiba na sheria.
*Sio muongo anapenda ukweli
*Ana uelewa mkubwa wa ndani na nje ya nchi.
*Anaheshimu Utu wa mwanadamu
*Hana roho ya visasi.

OMBI;
Tanzania ni yetu, kuiacha tena miaka mitano mingine ipotee kama hii iliyopita ni kuitafuta laana ya vizazi vijavyo. Tuungane tufanye mabadiliko chanya, vyama ni vya kupita tuu lakini taifa lipo palepale. Chadema watuletee Lissu nasi tumpe kura.
Wasalaam aleikum!

View attachment 1522282
 
Back
Top Bottom