hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Trust me jiwe sasa hivi lazima atakuwa ana meza pain killer na pills za usingiziHa ha ha... Kama jiwe yumo humu, akisoma post Kama hi cjui kama anapata usingizi, ni full stress
Trust me jiwe sasa hivi lazima atakuwa ana meza pain killer na pills za usingiziHa ha ha... Kama jiwe yumo humu, akisoma post Kama hi cjui kama anapata usingizi, ni full stress
Safi sana ubarikiwe popote ulipoNafurahi kuwataarifu Watanzania wenzangu na wanachama wa CCM kuwa Leo nimetimiza azima niliyo ahidi kwa kujiunga rasmi na Chadema kupitia application ya Chadema Digital.
Nimejiunga baada ya wanachama wa Chadema kutuwekea mgombea (ambaye ndiye Rais ajaye) chaguo sahihi kabisa.
Naomba niwasalimie wanachama na wapenzi wote wa Chadema; PEOPLES!
#NIYEYE2020View attachment 1527931
Karibu sana uwe na tahadhari tu muda wa uchaguzi green guard huwa siyo watu wazuriHa ha ha! Mkuu amini kuwa nimejiunga maana hainisaidii kudanganya
mkuu umeuliza swali zuri sana but kwa watu makini wajualo walifanyalo hua ni watulivu maana hakuna chama chochote kinacho mletea mkate wa kila siku wa familia yake so ni mda wowote anapojisika kutamka au kutotamka ali hali anajua nfsi yake yamtuma nini na wakati gani na kwa mda mhafaka ,watu makini na walio amua jambo fulan toka mioni mwao hua hawakurupukiNdugu Mshangai, Lissu kesha chaguliwa na ni Mpeperusha Bendera ya CHADEMA, Lini unajiunga na Chama
inategemea mkuu kama kiongonzi wa nchi kweli visasi sio bora kwa manufaa ya taifa but unapofika kufanya reform si ajabu ukakutana na vizingiti kesheria kwamaba hata kama huna visasi je huyu mtu wamponaje, hapo ndo inabidi tumia ubongo wa ziadada by the way lissu akipita majaribu kama hayo lazima ayashinde ,yaliyopita yamepita anza upya usilipe kisasi kwa yoyote cha msingi jenga taifa la tz basiHili ni muhimu Sana Lissu ajue, au afahamishwe. Visasi ni sumu. Atangaze mapema kuwa hatafanya visasi vyovyote
SafiMimi mtaani kwangu sasa cha moto wanakiona.. ni Lissu tu. Mpaka October nitahakikisha kimtaa kizima kinampigia kura Lissu.
Huyu jamaa sijui umri wake. Lakini ule usemi "hujafa hujaumbika" nadhani hajui maana yake. Mungu amsamehe afe akiwa mzima wa viungo vyote. Ni kauli iliyonisikitisha sana.Yametoka moyoni mwako au unaandika kumfurahisha mtu?
Mkuu ni kweli lakini si lazima kuhama chama, kikubwa hamasisha watu wampigie kura umpendae T Lisu wabunge na madiwani wa CHADEMA.Mimi pia mkuu kura yangu itakuwa kwa Lissu lakini nitakuwa wa mwisho kuhama CCM
Nakuunga mkono 100%!!Ndio akili za vijana wetu, nakuambia nimejiunga mwaka mmoja tokea CCM izaliwe yaani 1978 tena nikiwa JKT na kulikuwa na hekaheka za vita kule Kagera.
Pengine wewe ulikuwa hujazaliwa bado.
Unashangaa nini kukubali kwangu kumuunga mkono mgombea bora tokea chama kingine kama huyu tulie naye katuharibia chama?
CCM haikupaswa kuwa na propaganda za kitoto kama zilivyo sasa, ukatili kwa RAIA tunao uona ukifanyika, uongo wa kupitiliza hadi kutufanya wanachama tuonekane wajinga mbele ya jamii na kutoheshimu katiba na sheria.
Tanzania ni ya wote, na ninahakika Nyerere angekuwa hai asingekubali ccm iwe ilivyo na angeshindwa angeiacha.
Hata Kikwete kama mlimsikiliza Kyle Lupaso ni kuwa amechoka karibu atamwaga manyanga au kesha mwaga moyoni bali anaogopa akiwa wazi nini hatma yake? Na jee utawala nje ya ccm nao utakuwaje katika kuheshimu ulinzi wa katiba na kumuacha apumzike?
Nadhani Lissu na serikali yake haitaweka visasi, naye ajitokeze tuu kama Mimi na wengine
Mimi ni mwanachama wa CCM. Sio mwanachama maslahi au mwanachama fuata upepo, la hasha bali mwanachama mwanzilishi hata kama nilijiunga 1978 mwaka mmoja tokea ianzishwe.
Ninafuatilia sana siasa za chama chetu, lakini niseme wazi kuwa tokea mwaka 2016 muda tuu baada ya awamu ya tano kushika hatamu CCM yetu imepotea na kuja kikundi cha aina fulani kuigeuza CCM yetu kutoka chama chenye heshima na utu na kuwa cha kihuni, uongo na tabia za kihalifu.
Shuhudia chaguzi za serikali yetu na sasa chaguzi zetu za ndani ya chama. Ni uhuni na rushwa ya hali ya juu haijapata kutokea tangu chama kianze.
Uongo ndio usiseme, ona tunabuni mpaka kupanga watu kutoa zawadi eti za jogoo njiani kwa Rais? Kweli Rais anaweza kupewa tuu barabarani jogoo na akampokea mikononi bila kujulikana usalama wa zawadi hiyo?
Sasa kwa ujinga unaoendelea kwa chama changu natangaza rasmi binafsi kujiunga na Chadema kama watamsimamisha Tundu Lissu kugombea Urais ili nimpe kura yangu.
Nategemea wengi ndani ya CCM wataniunga mkono kwa sababu za Lissu zifuatazo;
*Anaheshimu Katiba na Sheria.
*Sio muongo anapenda ukweli
*Ana uelewa mkubwa wa ndani na nje ya nchi.
*Anaheshimu Utu wa Mwanadamu
*Hana roho ya visasi.
OMBI;
Tanzania ni yetu, kuiacha tena miaka mitano mingine ipotee kama hii iliyopita ni kuitafuta laana ya vizazi vijavyo. Tuungane tufanye mabadiliko chanya, vyama ni vya kupita tuu lakini taifa lipo palepale. Chadema watuletee Lissu nasi tumpe kura.
Wasalaam aleikum!
View attachment 1522282
Nafurahi kuwataarifu Watanzania wenzangu na wanachama wa CCM kuwa Leo nimetimiza azima niliyo ahidi kwa kujiunga rasmi na Chadema kupitia application ya Chadema Digital.
Nimejiunga baada ya wanachama wa Chadema kutuwekea mgombea (ambaye ndiye Rais ajaye) chaguo sahihi kabisa.
Naomba niwasalimie wanachama na wapenzi wote wa Chadema; PEOPLES!
#NIYEYE2020View attachment 1527931
.Mkuu, umeshajiunga tayari na CHADEMA? Maana ulitoa sharti wamchague Lissu
Mimi huu mwaka napiga kura kwa lissu for the first time.
Sijawahi piga kura.
Eeh, Mungu jibu maombi Tundu Lissu awe Rais wa jamuhuri ya muungano Tanzania. Amen!
Great!Nipende kuwashukuru sana kwa makaribisho yenu.
Ña hiki chama ni cha kisasa kweli, nimejiunga Leo hii kwa kutumia Application yao ya Chadema Digital kwa ada ya shs 2,500/ tuu.View attachment 1527938
Nikiangalia mwenendo wa kampeni unavyo endelea kwa kweli sijutii maamuzi yangu.Nakuunga mkono 100%!!
Hawa vijana hawajui hata post zingine usingezipata usingekuwa mwanachama wa CCM!!
Sasa kama mzalendo halisi bila mihemko, anayelitakia taifa letu Demokrasia, haki na amani ya kweli tufanye uamuzi sahihi, ili kukomboa taifa toka kwenye kundi la wakoloni weusi!!
Viva Tundu Lissu viva ukombozi wa TZ!!
Nikiangalia mwenendo wa kampeni unavyo endelea kwa kweli sijutii maamuzi yangu.
Kwanza nafurahishwa na jinsi Lissu anavyo mwaga Sera kwa ukweli na hadhi ya Presidential person tofauti na mgombea wa chama changu cha zamani asiyejua hata anataka kusema nini zaidi ya kuji contradict tuu.
Nimeshuhudia wanaccm wengi sana ninaofahamiana nao wakiwa wane KATA SHAURI KUACHANA NA DHAMBI YA CCM
Bilashaka una jambo lako popote ulipo kumpigia kampeni sana TLMimi ni mwanachama wa CCM. Sio mwanachama maslahi au mwanachama fuata upepo, la hasha bali mwanachama mwanzilishi hata kama nilijiunga 1978 mwaka mmoja tokea ianzishwe.
Ninafuatilia sana siasa za chama chetu, lakini niseme wazi kuwa tokea mwaka 2016 muda tuu baada ya awamu ya tano kushika hatamu CCM yetu imepotea na kuja kikundi cha aina fulani kuigeuza CCM yetu kutoka chama chenye heshima na utu na kuwa cha kihuni, uongo na tabia za kihalifu.
Shuhudia chaguzi za serikali yetu na sasa chaguzi zetu za ndani ya chama. Ni uhuni na rushwa ya hali ya juu haijapata kutokea tangu chama kianze.
Uongo ndio usiseme, ona tunabuni mpaka kupanga watu kutoa zawadi eti za jogoo njiani kwa Rais? Kweli Rais anaweza kupewa tuu barabarani jogoo na akampokea mikononi bila kujulikana usalama wa zawadi hiyo?
Sasa kwa ujinga unaoendelea kwa chama changu natangaza rasmi binafsi kujiunga na Chadema kama watamsimamisha Tundu Lissu kugombea Urais ili nimpe kura yangu.
Nategemea wengi ndani ya CCM wataniunga mkono kwa sababu za Lissu zifuatazo;
*Anaheshimu Katiba na Sheria.
*Sio muongo anapenda ukweli
*Ana uelewa mkubwa wa ndani na nje ya nchi.
*Anaheshimu Utu wa Mwanadamu
*Hana roho ya visasi.
OMBI;
Tanzania ni yetu, kuiacha tena miaka mitano mingine ipotee kama hii iliyopita ni kuitafuta laana ya vizazi vijavyo. Tuungane tufanye mabadiliko chanya, vyama ni vya kupita tuu lakini taifa lipo palepale. Chadema watuletee Lissu nasi tumpe kura.
Wasalaam aleikum!
View attachment 1522282