MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
we si ulijitoa JF?Naendelea kusisitiza, adui mkubwa wa Chadema sio CCM.
P
Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola
Wanabodi, hizi tuhuma dhidi yangu kumhusu Kabendera, zilianzia hapa Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii...
www.jamiiforums.com