Chadema Mbinu za Kutumia Kukuza Chama Kabla ya 2015

VoiceOfReason

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
5,194
1,355
2010 ndio hio imekwisha sasa Kampeni inaanza rasmi kujiandaa na Uchaguzi wa 2015, mimi kama mpenda mabadiliko kwa maoni yangu mbinu zifuatazo inabidi zifanyike kuanzia sasa ili kuhakikisha 2015 mambo yanakuwa sawa.

Kuhakikisha kwamba NEC inabadilika sababu hata wakipata kura 100% kwa hii NEC ya sasa ushindi utakuwa ndoto

Kutumia wabunge wake wote na kuhakikisha wanafanya kazi nzuri sana majimboni kwao na wawe vocal ili hata vipofu wasikie mambo wanayoyafanya

Kutumia Technology mfano SMS; kuweza kuwahabarisha watu, madudu yanayofanywa na walio madarakani

Sababu wengi hawasomi magazeti, kuangalia au kusikiliza taarifa ya habari; kutumia rasilimali yao (SUGU) kuweza kutoa vibao vingi vyenye sera na kuonyesha madudu ya CCM na vibao hivyo kugawiwa bure mitaani

Kama hizo strategy zikifanyika, sioni kwanini kama 2016 hata mimi sitashusha nyumba ya bati
 
2010 ndio hio imekwisha sasa Kampeni inaanza rasmi kujiandaa na Uchaguzi wa 2015, mimi kama mpenda mabadiliko kwa maoni yangu mbinu zifuatazo inabidi zifanyike kuanzia sasa ili kuhakikisha 2015 mambo yanakuwa sawa.

Kuhakikisha kwamba NEC inabadilika sababu hata wakipata kura 100% kwa hii NEC ya sasa ushindi utakuwa ndoto

Kutumia wabunge wake wote na kuhakikisha wanafanya kazi nzuri sana majimboni kwao na wawe vocal ili hata vipofu wasikie mambo wanayoyafanya

Kutumia Technology mfano SMS; kuweza kuwahabarisha watu, madudu yanayofanywa na walio madarakani

Sababu wengi hawasomi magazeti, kuangalia au kusikiliza taarifa ya habari; kutumia rasilimali yao (SUGU) kuweza kutoa vibao vingi vyenye sera na kuonyesha madudu ya CCM na vibao hivyo kugawiwa bure mitaani

Kama hizo strategy zikifanyika, sioni kwanini kama 2016 hata mimi sitashusha nyumba ya bati

Uko sahihi, katiba ndiyo mama wa yote. Vinginevyo hata tukiwahamasisha huko vijijini bado kura zo zitaibiwa kwa katiba iliyopo
 
Kuanza kampeni sasa hivi ni ujinga wa siasa. Watu wanatakiwa wafanye kazi ya kujenga nchi, na kuacha mambo ya vijiwe vya siasa.
 
Kuanza kampeni sasa hivi ni ujinga wa siasa. Watu wanatakiwa wafanye kazi ya kujenga nchi, na kuacha mambo ya vijiwe vya siasa.

Kwako kampeni ni nini? unaweza kufanya kampeni kwa namna ambayo haitathiri majukumu yako. Hapo si maanishi kampeni ya kuhangaika majukwaani kwa siku 70 au 80 bali kutumia nafasi mbali mbali kuzungumza mambo ya msingi kwa kutumia mtandao wa habari na baadhi ya mikutano pale inapowezekana.
 
2010 ndio hio imekwisha sasa Kampeni inaanza rasmi kujiandaa na Uchaguzi wa 2015, mimi kama mpenda mabadiliko kwa maoni yangu mbinu zifuatazo inabidi zifanyike kuanzia sasa ili kuhakikisha 2015 mambo yanakuwa sawa.

Kuhakikisha kwamba NEC inabadilika sababu hata wakipata kura 100% kwa hii NEC ya sasa ushindi utakuwa ndoto

Kutumia wabunge wake wote na kuhakikisha wanafanya kazi nzuri sana majimboni kwao na wawe vocal ili hata vipofu wasikie mambo wanayoyafanya

Kutumia Technology mfano SMS; kuweza kuwahabarisha watu, madudu yanayofanywa na walio madarakani

Sababu wengi hawasomi magazeti, kuangalia au kusikiliza taarifa ya habari; kutumia rasilimali yao (SUGU) kuweza kutoa vibao vingi vyenye sera na kuonyesha madudu ya CCM na vibao hivyo kugawiwa bure mitaani

Kama hizo strategy zikifanyika, sioni kwanini kama 2016 hata mimi sitashusha nyumba ya bati

Expert ukikipenda kitu uwe unajiuliza pia, kwani kabla ya uchaguzi uliopita chadema walikuwa hawajui kuwa kuna hayo matatizo? au wamejua ghafla tu baada ya uchaguzi , jamani ebu amkeni ebu wanyoosheeni vidole walikuwa wapi?

chadema sio chama, kama unataka ukweli fuatilia kwa karibu kuna matatizo mule, ni jumba la sanaa
 
Expert ukikipenda kitu uwe unajiuliza pia, kwani kabla ya uchaguzi uliopita chadema walikuwa hawajui kuwa kuna hayo matatizo? au wamejua ghafla tu baada ya uchaguzi , jamani ebu amkeni ebu wanyoosheeni vidole walikuwa wapi?

chadema sio chama, kama unataka ukweli fuatilia kwa karibu kuna matatizo mule, ni jumba la sanaa

Brick by Brick myfriend, brick by brick.... Rome was not built in a day.... Chadema Came from Chama Cha Tatu cha upinzani to chama pili (with uchakachuaji allegations), thats what i call progress. About matatizo ndani ya chama am sure they can be sorted... Am tired with business as usual and in all oppositions to me chadema has got opportunity to make with a good track record.

So what do you suggest we should.. brother got any better ideas
 
Kuanza kampeni sasa hivi ni ujinga wa siasa. Watu wanatakiwa wafanye kazi ya kujenga nchi, na kuacha mambo ya vijiwe vya siasa.

Kama umesoma hapo juu niliyosema, sio kuitisha mikutano, kwa ufupi nimesema ni kutoa elimu kwa jamii kuhusu mabaya ya CCM, na wabunge kufanya mazuri ili kuzidisha imani ya wanachama.. Now tell me, whats wrong with this?
 
Back
Top Bottom