Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,680
- 218,189
- Thread starter
- #21
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba100% Right.
angalia Jinsi issue ya ccm kushindwa udiwani ilivyochukuliwa mpaka mwenyekiti wa ulinzi na usalama mkoa akasema wataandika barua kuomba radhi. Hapa kuna siasa za ajabu zinapangwa ndani ya Polisi. Ndio sababu hata RPC anaandamwa na kambi ya mkuu wa nyumba