Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,680
- 218,189
kila la heri wanacdm wa mbeya , endeleeni kuitokomeza ccm .
heeeeeeeeeee unacheke sha amani ndani ya chadema ndoto za asubuhi
wajumbe wanaanza kuingia ukumbini wajumbe ni kumi na moja kila kata. Kata ziko 36 jumlisha kamati tendaji wilaya wanaingia sasa kila kitu amani kabisa
sugu hakuna alilofanya mbeya,, wanambeya tumepata hasara hatuna mbunge.. mwakani tutachagua mbunge makini
Mbeya ipi mkuu? mi nipo Block T hapa!
naandika kwa niaba ya wanambeya wote
mwenye mamlaka ya kuwawakilisha wana mbeya ni sugu, labda wewe utuambie nani amekupa mamlaka hayo
niko hapa mwanjelwa vijana wote hawamtaki sugu, wamemchoka
yaani watu wote hawa hawana kaz wamerundikana tu ukumbini?
au wamefuata ule mgao wa viroba sugu aliowaahidi?
Uchaguzi ngazi za bavicha,bawacha na wazee tayari sasa wajumbe wanaingia kuchagua wajumbe kamati tendaji na m/kiti na viongozi wengine wa juu wa wilaya
shitambala haja penyeza mamluki?... Yule jamaa tulikuwa nae kinonko jeshini, ni mtu hatari sana...
tusubiri tuone