na ndio sera zao za kutawala dunia nzima, kwasababu kwa sasaivi hawa jamaa hawana kabisa rasilimali, na mategeo ni kutoka bara la Africa, hivyo kwa mbinu yoyote lazima wahodhi rasilimali za Afrika, na mifano tunayo kwa Mugabe na Gadafi, na wenzetu kubwa zaidi uchumi unapiganiwa na kulindwa na majeshi. hivyo tuwe makini sana na hila za wazungu kutuchagulia viongozi