Mnzajila GairoTz
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 562
- 153
Ufirauni wake wa Richmond unausafisha na magadi ya wapi?
Mbona hataki kusema asili ya utajiri wake kama ni mtu safi?
Watafute wendawazimu ukawaambie hizi hadithi. Honestly we dont need your cheap propaganda here. Naomba utuache tuna masuala makubwa na ya maana ya kujadili badala ya kutuletea jizi, fisadi liabudu rushwa lingine hapa. Bado tunahangaika na madonda ya li kikwete. unaleta lingine tena. Tafadhili. mtafutieni kakoloni kengine labda komoro.
Noamba tena uishie kabla sijabadilisha lugha.
Lowassa sio mwenye Richmond tuache chuki! Gamba la Richmond alishamrudishia mwenyewe! Inawezekana akawa fisadi lakini sio ufisadi wa Richmond, muhusika wa Richmond/mwenye Richmond ni Mpangaji wa Ikulu ya Magogoni!