I never trusted chadema. labda kama nitakuwa stupid.
So, CHADEMA What R U trying to tell US???? Yeye sio FISADI ila anathubutu kuwa FISADI????
Acheni fujo, ukweli ni kwamba EL ni mali kwenye harambee.Sitta aliwaambia mzikatae lakini Mbunge Natse ndiye aliyekwenda kumfuata nyumbani kwake.
Chezea pesa wewe!
lowasa dume la shoka,ukweli utadhihiri tu,Lowasa AKUNAGA!
Sitta aliwaambia mzikatae lakini Mbunge Natse ndiye aliyekwenda kumfuata nyumbani kwake.
Chezea pesa wewe!
Kwakile ambacho lowasa anakifanya katika harambee mbalimbali pamoja na mikutano ambayo ni ya kumjenga yeye zaidi kuliko chama chake angekuwa yupo Chadema angetafutiwa zengwe mpaka atimuliwe kwa tuhuma za kuhujumu na kufanya uhaini katika chama chake.
NAWASILISHA
Bahili alinunua Mbuzi akamwambia Mpishi. "Nyama nusu ipike pilau na nyingine itie kwenye friji,kichwa fanya supu na miguu fanya mchuzi wa chukuchuku,ngozi usitupe tutafanya mkeka,utumbo pika na ndizi,mifupa tutawauzia wenye mbwa,kinyesi weka kwa ajili ya mbolea ya bustani"...Mpishi akamuuliza "hutaki na sauti yake ufanye ringtone kwenye simu yako"?? x-mas njema.
Unapomchukia mtu mwenye haki mbele za Mungu basi ujue ni hasara kwako maana mungu atazidi kumuinua ili ufadhaike zaidi.Ufirauni wake wa Richmond unausafisha na magadi ya wapi?
Mbona hataki kusema asili ya utajiri wake kama ni mtu safi?
Watafute wendawazimu ukawaambie hizi hadithi. Honestly we dont need your cheap propaganda here. Naomba utuache tuna masuala makubwa na ya maana ya kujadili badala ya kutuletea jizi, fisadi liabudu rushwa lingine hapa. Bado tunahangaika na madonda ya li kikwete. unaleta lingine tena. Tafadhili. mtafutieni kakoloni kengine labda komoro.
Noamba tena uishie kabla sijabadilisha lugha.
Unapomchukia mtu mwenye haki mbele za Mungu basi ujue ni hasara kwako maana mungu atazidi kumuinua ili ufadhaike zaidi.
Hivi akiwa rais utajiua au utahama nchi. ACHA CHUKI NA WIVU
lowasa dume la shoka,ukweli utadhihiri tu,Lowasa AKUNAGA!