Mapambano Daima,CCM kwisha habari,huku Iringa Mchungaji Msigwa anapiga mkutano wa 5 bado mikutano 12 ili itimie 17 ambayo imepangwa ifanyike,huko Tanga nako makamanda kina Zitto wamepinga mikutano ya kufa mtu! Viva Chadema.
Chadema kweli mmekosa mvuto. Hebu ona Sredi yenu haina wachangiaji!!!
Nipo hapa kimara bonyokwa live,sasa zinaimbwa nyimbo za ukombozi wa taifa juu ya mafisadi,si muda mrefu nawaletea picha
safi sana makamanda..
Peoplesssssssss
powerrrrrrrrrrrrrr..........
Chadema kweli mmekosa mvuto. Hebu ona Sredi yenu haina wachangiaji!!!