- Thread starter
- #21
Kabwela unahangaika!!!
I am enjoying life.
Kabwela unahangaika!!!
Hata Kama Nikiambiwa lowasa ni jini nampa kura yangu,Peoplezzzzzzz
Hilo fundi ni taahira kama ma-ccm menyewe, yaani fundi hata halijui litumie rangi gani kufuta rangi zilizotangulia kupakwa?OFISI YA CHADEMA KATA YA RUAHA IRINGA MJINI YACHUKULIWA NA CCM BAADA YA KUSHINWA KULIPA KODI
![]()
Ofisi ya Chadema iliyochukuliwa na CCM hii hapa![]()
![]()
Makada na viongozi wa Chadema kata ya Ruaha wakitazama bango la safu ya uongozi wa Chadema
katibu wa CCM kata ya Ruaha Rashid Shungu ( wa pili kushoto ) na kada wa Chadema aliyehamia CCM Ibrahim Mmasi pamoja na wanachama wengine wa CCM wakiwa wameshika bendera ya CCM ambayo itapepea katika ofisi mpya ya kata ya Ruaha ,ofisi ambayo awali ilikuwa ikimilikiwa na Chadema kabla ya kufukuzwa kwa kushindwa kulipa deni la kodi kiasi cha Tsh 540,000 , kushoto fundi rangi akiendelea kupaka rangi ya CCM.(Martha Magessa)
![]()
Wewe ndio umeishiwa kabisaaa. Yaani ni wa kuonea huruma tu.Hilo fundi ni taahira kama ma-ccm menyewe, yaani fundi hata halijui litumie rangi gani kufuta rangi zilizotangulia kupakwa?
Bila upinzani hii nchi hata huu umeme wa mgao hamtaupata wameplay role kubwa kuongeza efficiency ya serikali ya ccm kama wewe unataka na unatamani vife you will see!
A cha upotoshaji wewe! Hilo tukio limetokea tangu mwaka Jana. Tangia Dk Slaa ni K/Mkuu wa CHADEMA. Sijui hii cybercrime ni kwa ajili ya nini?!
Hilo fundi ni taahira kama ma-ccm menyewe, yaani fundi hata halijui litumie rangi gani kufuta rangi zilizotangulia kupakwa?
Wanaodhani na kufikiri kua CCM itakufa wanaongozwa na mihemko, CCM inazidi kukua uchaguzi mkuu tutashinda na baada ya uchaguzi kitazidi kukua na wapinzani watabaki kua wapinzani tuu.
#HapaKaziTu
#Magufuli.