Great thinker huyo, si mchezo ati!
Niiteni majina mnayotaka tu. Mageuzi ya kweli ya Nchi hii yataletwa na hawa vijana wa mitaani tu na si vinginevyo. Hebu niambieni maandamano na migomo ya wanafunzi wa vyuo vikuu tangu enzi za Mwalimu yameleta mabadiliko gani Nchi Hii?