elimukwanza
Senior Member
- Dec 27, 2010
- 169
- 23
- Thread starter
-
- #21
hizo ni hadithi tu,watanzania wanahitaji huduma za jamii siyo CDMMkuu, unachanganya mambo. Wanafunzi wa vyuo vikuu wenyewe ndiyo waliwaalika viongozi wa Chadema kwenye kongamano lao wawahutubie. Chadema inaungwa mkono sana na wanafunzi wa vyuo, wasomi, wafanyakazi na watu wengine walioelimika. Hii ni kutokana na kuwa elimu yao imewafanya waweze kuchambua hoja za Chadema na kuzielewa na kuzikubali. Elimu yao pia imebaini kuwa CCM wametawala nchi hii kwa nusu karne (miaka 50) na kushindwa kuleta maendeleo hivyo ni muda sasa wa kuleta mabadiliko.
CCM bado inaendelea kuungwa mkono na baadhi ya wananchi wa vijijini kutokana na elimu yao duni. CCM wanatumia ujinga wa wananchi wake kuendelea kuwatawala kwa kuwatisha wasilinde kura vituoni, waogope wapinzani kuwa wataipeleka nchi iwe kama Rwanda au Somalia na wajigambe kuwa CCM ndiyo chama pekee cha kuleta amani na utilivu.
Kadri elimu inavyozidi kusambaa ndiyo jinsi CCM inavyozidi kuporomoka madarakani, watoto wa sasa wa primary na sekondari wakifikia umri wa kupiga kura 2015 wakaungana na wenzao wa vyuo ni kiama zaidi kwa CCM.
Na ndicho wanacho kifanya ref; penye redHawa wanafunzi wetu wengi wanatoka vijijini sasa CDM inatakiwa kuwambia kuwa wawaeleze ndugu zao juu ya umuhimu wa katiba mpya na suala la dowans. Unajua tatizo haliko vyuo vikuu,tatizo liko vijijini ambako kuna uelewa mdogo wa wananchi na huo ndiyo mtaji wa mafisadi.
ElimuKwanza, pointi yako ni mzuri sana kwamba CDM kusirudie makosa bali tuwe makini zaidi katika kutumia hii strategy ya kuwakomba wasomi nchini. Great Thinkers, tuwe tunasoma hoja kwa ukamilifu wake kwanza ndio tuweze kuchangia uzuri mawazo yetu.
Siku za karibuni sasa ni dhahiri CDM wameamua kutumia wanafunzi wa vyuo vikuu katika kile wanachokiita kudai mabadiliko.Mimi kwa mtizamo wangu wasiwe wana take advantage ya matatizo yao kufanikisha malengo yao ya kisiasa.hawa wanafunzi wetu wengi wanatoka vijijini sasa cDMinatakiwa kuwambia kuwa wawaeleze ndugu zao juu ya umuhimu wa katiba mpya na suala la dowans.Unajua tatizo aliko vyuo vikuu,tatizo liko vijijini ambako kuna uelewa mdogo wa wananchi na huo ndiyo mtaji wa mafisadi.
hizo ni hadithi tu,watanzania wanahitaji huduma za jamii siyo CDM
hizo ni hadithi tu,watanzania wanahitaji huduma za jamii siyo CDM
Mabadiliko ya kweli yanaaanza na wanavyuo. Hata Nyerere alianza siasa za kumuondoa mkoloni chuoni.Siku za karibuni sasa ni dhahiri CDM wameamua kutumia wanafunzi wa vyuo vikuu katika kile wanachokiita kudai mabadiliko.
Mimi kwa mtizamo wangu wasiwe wana-take advantage ya matatizo yao kufanikisha malengo yao ya kisiasa. Hawa wanafunzi wetu wengi wanatoka vijijini sasa CDM inatakiwa kuwambia kuwa wawaeleze ndugu zao juu ya umuhimu wa katiba mpya na suala la DOWANS.
Unajua tatizo aliko vyuo vikuu, tatizo liko vijijini ambako kuna uelewa mdogo wa wananchi na huo ndiyo mtaji wa mafisadi.
Wanafunzi wa Vyuo Vikuu hawataisaidia sana CHADEMA. Wanasoma kwa mkopo na ruzuku ya serikali. Watu watakaoisaidia CHADEMA ni hawa wa mitaani
na hasa maeneo ya mijini. Wajue namna ya kuwatumia bila ya kusababisha mauaji kama ilivyotokea Arusha. CHADEMA wawe na agenda itakayoonekana kuwasaidia vijana hawa wa mitaani. Iwasikilize wao kwanza.
Hawa wa vyuo vikuu ni waoga, wanafiki kama walivyo baba na mama zao walioko CCM.
Wanafunzi wa Vyuo Vikuu hawataisaidia sana CHADEMA. Wanasoma kwa mkopo na ruzuku ya serikali. Watu watakaoisaidia CHADEMA ni hawa wa mitaani na hasa maeneo ya mijini. Wajue namna ya kuwatumia bila ya kusababisha mauaji kama ilivyotokea Arusha.
CHADEMA wawe na agenda itakayoonekana kuwasaidia vijana hawa wa mitaani. Iwasikilize wao kwanza.
Hawa wa vyuo vikuu ni waoga, wanafiki kama walivyo baba na mama zao walioko CCM.
Great thinker huyo, si mchezo ati!
Action And Reaction Are Equal And Opposite
(hiyo aya ya pili kuna mtu alikupokonya keyboard?)
Siku za karibuni sasa ni dhahiri CDM wameamua kutumia wanafunzi wa vyuo vikuu katika kile wanachokiita kudai mabadiliko.
Mimi kwa mtizamo wangu wasiwe wana-take advantage ya matatizo yao kufanikisha malengo yao ya kisiasa. Hawa wanafunzi wetu wengi wanatoka vijijini sasa CDM inatakiwa kuwambia kuwa wawaeleze ndugu zao juu ya umuhimu wa katiba mpya na suala la DOWANS.
Unajua tatizo aliko vyuo vikuu, tatizo liko vijijini ambako kuna uelewa mdogo wa wananchi na huo ndiyo mtaji wa mafisadi.
Siku za karibuni sasa ni dhahiri CDM wameamua kutumia wanafunzi wa vyuo vikuu katika kile wanachokiita kudai mabadiliko.
Mimi kwa mtizamo wangu wasiwe wana-take advantage ya matatizo yao kufanikisha malengo yao ya kisiasa. Hawa wanafunzi wetu wengi wanatoka vijijini sasa CDM inatakiwa kuwambia kuwa wawaeleze ndugu zao juu ya umuhimu wa katiba mpya na suala la DOWANS.
Unajua tatizo aliko vyuo vikuu, tatizo liko vijijini ambako kuna uelewa mdogo wa wananchi na huo ndiyo mtaji wa mafisadi.