CHADEMA kwafukuta mbaya, watoleana bastola

CHADEMA kwafukuta mbaya, watoleana bastola

Hsbari za kijinga kama hizi zinachosha jf..
 
Tatizo lao wamezoea kelele sana, na ikulu ni sehemu ya utulivu sana, vichaa vyao vikiamka itakuwaje? nilimwona siku moja Msigwa anapiga kelele chanel nikaelewa kuwa anahisi bado yupo bungeni!
 
Umesahau namba yako hili nikutumie kabisa buku 7.
Kwa jinsi ulivyoandika hata km kuna ukweli ktk thread yako sidhani km kwa yeyote mwenye ubongo anaweza kukuamini.
Km ni kweli please andika upya hili ueleweke
 
Hizi ni habari muhimu sana zinaonyesha Chadema ni watu wa namna gani, hawa watu bure sana, hawafai kabisa tuwape majukumu mazito ya kuongoza taifa hili, jambo kidogo tu, bastola..

Maneno yako yanafanana na AVATAR yako
 
inafahamika kwamba kusoma hujui, sasa ni nani amekuandikia hapa ?
 
Inaonekana umemuelewa Stroke basi tusimulie anaongea nini maana wengi hatujajua anachoongea huyu jamaa. Ebu tupe kidogo briefing
Hizi ni habari muhimu sana zinaonyesha Chadema ni watu wa namna gani, hawa watu bure sana, hawafai kabisa tuwape majukumu mazito ya kuongoza taifa hili, jambo kidogo tu, bastola..
 
Duuh!! kweli haitaji dr

kutambua vichaa! unaweza kuwalaumu waalimu lkn kama hii ndio aina ya watu wanafundisha tuwahurumie.
 
Kumbe huwa mnafuta ukiwakuna eehh..!

Wanafuta nini?na nani hao? Badala ya kutulizana na kuanza kuomboleza pamoja na buku saba wenzio kuwa ofisi yenu ya Lumumba haitakuwepo tena unaanza kuleta ujinga jukwaa hili? Anza kutafuta ajira halali mambo haya yana mwisho tena usiozidi October.
 
Ray Jay wa ukweli ni mjanja. Aisee acheni kujiita majina ya wajanja wakati bado si mjanja.
 
Kumbe huwa mnafuta ukiwakuna eehh..!

ray gay huna akili! Kile kin.mb.e cha mamako ndo bastola? Eti wabunge wa CHADEMA Moshi vijijini! Lile jimbo si lilikuwa linqongpzwa na Cyril Chami? Sasa hawa wa CHADEMA wametoka wapi?
 
ray gay huna akili! Kile kin.mb.e cha mamako ndo bastola? Eti wabunge wa CHADEMA Moshi vijijini! Lile jimbo si lilikuwa linqongpzwa na Cyril Chami? Sasa hawa wa CHADEMA wametoka wapi?
Kamanda hauwezi kuchangia bila kutukana.
 
Huyu jamaa atakua MFA maji, hatakuandika news hawezi. Tukio hajalishuhudia afu anasema kama maigizo??
 
Ray jay andika taratibu na kwa utulivu,unakumbilia nini?? Unaandika kwa jazba hadi hujaeleweka,,punguza mihemko w
 
Back
Top Bottom