CHADEMA kwafukuta mbaya, watoleana bastola

CHADEMA kwafukuta mbaya, watoleana bastola

ray jay

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
1,084
Reaction score
485
Hali ni tete, wabunge wawili wa Moshi vijijini wanatunishiana misuli, wa CHADEMA na Katibu wa CHADEMA mkoa amekula kichapo mbaya na redbrigade walioletwa na Komu ametoa pistol akitishia wagombea huko Kibosho baada ya polisi kuingilia kati.

Sorry picha za pistol sina, maana nilikuwa mkutano wa mgombea wa upande mwingine nilivyokuwa naenda huko watu wakawa wamesambaratika wanarudi kwa mgombea wa pili yaani kama maigizo vile.
 
ukishatulia uandike tena ulichokiona ili uelewe.

wabunge wa wawili wa chadema moshi vijijni?

mara redbrigade wa Antony Komu? hueleweki kwa kifupi.
 
Nihali ni tete wabunge wawili wa Moshi vijijini wanatunishiana misuli, wa CDM na Katibu wa CDM mkoa amekula kichapo mbaya na redbrigade walioletwa na komu na komu ametoa pistol akitishia wagombea huko Kibosho baada ya polisi kuingilia kati.

Sorry picha za pistol sina maana nilikua mkutano wa mgombea wa upande mwingine nilivyokua naenda huko watu wakawa wamesambaratika wanarudi kwa mgombea wa pili yaani kama maigizo vile.

tuliza papara,andika kwa utulivu!
 
Halafu eti wewe ray jay ni kati ya vijana mnaoaminika CCM. Yaani hadi huruma. Sasa hapa umeandika nini? CHADEMA wana Mbunge au Wabunge Moshi Vijijini? Vijana kama nyinyi mnaondoa heshima ya vijana wote hata tusiokuwa wanasiasa.

Bure kabisa
 
Last edited by a moderator:
Masisiem haya achi kuweweseka mwisho wao October 25 asubuhiiiiii
 
Hizi ni habari muhimu sana zinaonyesha Chadema ni watu wa namna gani, hawa watu bure sana, hawafai kabisa tuwape majukumu mazito ya kuongoza taifa hili, jambo kidogo tu, bastola..
 
Unajua nani aliyempiga Mwigamba tofali la kichwa kama siyo Lema.

Alishitakiwa mahakama gani hapa Tanzania?na mwenendo wa hiyo kesi upo je maana nikipindi kirefu tangu mwigamba atoke cdm na kwenda zake
 
huyu jamaa mwandiko wake hausomeki labda pen yake ni bic tumia speedo
 
Hizi ni habari muhimu sana zinaonyesha Chadema ni watu wa namna gani, hawa watu bure sana, hawafai kabisa tuwape majukumu mazito ya kuongoza taifa hili, jambo kidogo tu, bastola..


Nyie jambo kidogo tu mabom
 
Back
Top Bottom