Hali ni tete, wabunge wawili wa Moshi vijijini wanatunishiana misuli, wa CHADEMA na Katibu wa CHADEMA mkoa amekula kichapo mbaya na redbrigade walioletwa na Komu ametoa pistol akitishia wagombea huko Kibosho baada ya polisi kuingilia kati.
Sorry picha za pistol sina, maana nilikuwa mkutano wa mgombea wa upande mwingine nilivyokuwa naenda huko watu wakawa wamesambaratika wanarudi kwa mgombea wa pili yaani kama maigizo vile.
Sorry picha za pistol sina, maana nilikuwa mkutano wa mgombea wa upande mwingine nilivyokuwa naenda huko watu wakawa wamesambaratika wanarudi kwa mgombea wa pili yaani kama maigizo vile.