lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kwa sana kimekuwa ni kiwanda kikubwa sana cha kuzalisha viongozi katika taifa letu
Chadema kimekuwa chama kinachokuza vipaji vyingi katika uongozi wa taifa letu kwa sasa hivi
Imefikia hatua viongozi wa serekali wa awamu hii ya 5 karibu wote wameanza kutoka katika chama cha demokrasia na maendeleo chadema
Chadema kimekuwa kikikuza vipaji vya vijana wengi sana katika nchi hii
Vijana wanaokuzwa na umoja wa vijana ccm kwa sasa hivi wamebaki na kazi za kusifu na kuabudu tu bila kuteuliwa katika nafasi zozote zile
Kama mambo yataendelea yalivyo baada ya miaka 5 mbele tutajikuta viongozi karibia wote wa kisiasa na kiserekali karibia 80% watatokana na chama Cha chadema
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Lazima tukubali kuwa mh,mbowe ameweza kuwalea vijana wengi katika nchi hii wanaopewa nafasi mbalimbali katika vyama mbalimbali kuliko wanavyokuzwa na vyama vyao wenyewe
Huu ni ukweli mtu mputu na msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Chadema kimekuwa chama kinachokuza vipaji vyingi katika uongozi wa taifa letu kwa sasa hivi
Imefikia hatua viongozi wa serekali wa awamu hii ya 5 karibu wote wameanza kutoka katika chama cha demokrasia na maendeleo chadema
Chadema kimekuwa kikikuza vipaji vya vijana wengi sana katika nchi hii
Vijana wanaokuzwa na umoja wa vijana ccm kwa sasa hivi wamebaki na kazi za kusifu na kuabudu tu bila kuteuliwa katika nafasi zozote zile
Kama mambo yataendelea yalivyo baada ya miaka 5 mbele tutajikuta viongozi karibia wote wa kisiasa na kiserekali karibia 80% watatokana na chama Cha chadema
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Lazima tukubali kuwa mh,mbowe ameweza kuwalea vijana wengi katika nchi hii wanaopewa nafasi mbalimbali katika vyama mbalimbali kuliko wanavyokuzwa na vyama vyao wenyewe
Huu ni ukweli mtu mputu na msema kweli ni mpenzi wa Mungu