- Thread starter
- #41
mmepewa t-shirt,fulana na ccm then maisha mabaya kwa kila m-tz.huko nako si kudanganyika!CHADEMA MWENDO MDUNDO HAKUNA KAULI MFU KAMA NYIE WAZEE WA SITAKI NATAKA.
Pole zao
mmepewa t-shirt,fulana na ccm then maisha mabaya kwa kila m-tz.huko nako si kudanganyika!CHADEMA MWENDO MDUNDO HAKUNA KAULI MFU KAMA NYIE WAZEE WA SITAKI NATAKA.
Mkuu wao hawahitaji uwanja. wanachotafuta ni kuona mahali kuna mkusanyiko wa watu.Mkuu watatumia uwanja gani kama ni pale Tengeru sokoni uwanjani mdogo sana.
Uscheze na CHADEMA hongera kamanda Nyerere,nakuaminia kwa mipango kazi na ujasiri lazma itakuwa funika bayawell done
Naionea huruma sana CCM ilivyopoteza mvuto hadi kulazimika kujibana sokoni.Mkuu wao hawahitaji uwanja. wanachotafuta ni kuona mahali kuna mkusanyiko wa watu.
Kama unavyojua Jmosi ni siku ya soko na watu watakuwa wengi sana.
Watakachofanya ni tactic ya kuhubiri injili
Naionea huruma sana CCM ilivyopoteza mvuto hadi sasa inalazimisha kujibana sokoni.
Kweli mkuu, zamani tulikuwa tunakanyagana kuhudhuria mikutano ya CCM siku hizi watu wanabembelezwa hadi walipwe kwanza na wapewe usafiri wa kwenda na kurudi sasa bado utasema hicho ni chama cha siasa. Naomba tu CDM wasiige mtindo huo acha watu wahudhurie wenyewe hata kama ni kumi wanatosha.Mkuu usinchekeshe.... mbavu sina!
Kila mkutano wa CDM utakuwa unapitisha mchango tofauti kabisa na CCM ambao wao hugawa pesa kwa wananchi......Kweli mkuu, zamani tulikuwa tunakanyagana kuhudhuria mikutano ya CCM siku hizi watu wanabembelezwa hadi walipwe kwanza na wapewe usafiri wa kwenda na kurudi sasa bado utasema hicho ni chama cha siasa. Naomba tu CDM wasiige mtindo huo acha watu wahudhurie wenyewe hata kama ni kumi wanatosha.
Msingi wa vyama vya siasa ni hiari kama chama kinakosa watu hadi kitumie mbinu mbadala jua kinaelekea kufa. Lakini wanaokiuua ni viongozi wenyewe, wanakijenga chama kwa misingi ya pesa na wanachama wanazoea pesa bila pesa hawapandishi bendera, ni hatari. CCM inakoelekea kuna siku itakuwa inaita majina kwenye mikutano yake kuhakiki kama kweli wote waliopewa pesa wamehudhuria.
Mkuu hii itatujengea watu kuipenda chadema uko Arumeru, napenda mbinu za chama changu. I wish nije meru, ngoja niangalie kama kuna safari ya uswaa.Kila mkutano wa CDM utakuwa unapitisha mchango tofauti kabisa na CCM ambao wao hugawa pesa kwa wananchi......
Good strategy ambayo CCM hawawezi kuiga.Kila mkutano wa CDM utakuwa unapitisha mchango tofauti kabisa na CCM ambao wao hugawa pesa kwa wananchi......
Kweli mkuu, zamani tulikuwa tunakanyagana kuhudhuria mikutano ya CCM siku hizi watu wanabembelezwa hadi walipwe kwanza na wapewe usafiri wa kwenda na kurudi sasa bado utasema hicho ni chama cha siasa. Naomba tu CDM wasiige mtindo huo acha watu wahudhurie wenyewe hata kama ni kumi wanatosha.
Msingi wa vyama vya siasa ni hiari kama chama kinakosa watu hadi kitumie mbinu mbadala jua kinaelekea kufa. Lakini wanaokiuua ni viongozi wenyewe, wanakijenga chama kwa misingi ya pesa na wanachama wanazoea pesa bila pesa hawapandishi bendera, ni hatari. CCM inakoelekea kuna siku itakuwa inaita majina kwenye mikutano yake kuhakiki kama kweli wote waliopewa pesa wamehudhuria.
Mungu awe nanyi wakuu.Sisi huku Jumamosi tutawazika Rasmi
Kweli mkuu, zamani tulikuwa tunakanyagana kuhudhuria mikutano ya CCM siku hizi watu wanabembelezwa hadi walipwe kwanza na wapewe usafiri wa kwenda na kurudi sasa bado utasema hicho ni chama cha siasa. Naomba tu CDM wasiige mtindo huo acha watu wahudhurie wenyewe hata kama ni kumi wanatosha.
Msingi wa vyama vya siasa ni hiari kama chama kinakosa watu hadi kitumie mbinu mbadala jua kinaelekea kufa. Lakini wanaokiuua ni viongozi wenyewe, wanakijenga chama kwa misingi ya pesa na wanachama wanazoea pesa bila pesa hawapandishi bendera, ni hatari. CCM inakoelekea kuna siku itakuwa inaita majina kwenye mikutano yake kuhakiki kama kweli wote waliopewa pesa wamehudhuria.
Tupo pamojaMungu awe nanyi wakuu.Sisi huku Jumamosi tutawazika Rasmi