Chadema kuwaunganisha WaTanzania

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Nina furaha kubwa kuona kuwa Chadema inajipanga kuwaunganisha WaTanzania wote bila ya kujali itikadi za kidini.
Umoja huo ambao ndio muhimu katika kuiondoa CCM iliyodumu madarakani kwa nusu karne sasa,tumeona Tunis,Misri na kwengineko ,umoja wa wanancho umeweza kufanikisha wakoloni wazalendo kuondolewa madarakani baada ya kuishi ndani ya madaraka na kutotaka kuondoka.
Chadema katika mbiu hii ya kuwaunganisha wananchi wa Taifa hili la Tanzania sio itaweza kumuondoa kiongozi bali itaweza kukiondoa Chama kilichoimeza Tanzania tokea ipate uhuru.
 
itakuwa vizuri kama itaweza hilo la kuwaunganisha watu wa dini zote,lakini bado nina wasiwasi na baadhi ya members wa jf ambao pia ni wanachama wa CDM kwani wengi wao wameweka udini mbele kwa mfano angalia uteuzi wa mkurugenzi wa utalii bwana Ibrahim mussa watu wanahoji dini yake wana diliki kuhoji kwanini kapewa nafasi hiyo lakini wameshindwa kuhoji kwanini mwanzo alikuwa maria mmari
sasa je chadema inachujio la kuweza kuwaondowa watu wenye fikra mgando tena mgando hasi kama hawaaaa?
kwa upande wangu nasubiri kwa hamu hilo ni jema kwetu

msema ukweliii hapendwiiiii daimaaaaaa:clap2:
 
itakuwa vizuri kama itaweza hilo la kuwaunganisha watu wa dini zote,lakini bado nina wasiwasi na baadhi ya members wa jf ambao pia ni wanachama wa CDM kwani wengi wao wameweka udini mbele kwa mfano angalia uteuzi wa mkurugenzi wa utalii bwana Ibrahim mussa watu wanahoji dini yake wana diliki kuhoji kwanini kapewa nafasi hiyo lakini wameshindwa kuhoji kwanini mwanzo alikuwa maria mmari
sasa je chadema inachujio la kuweza kuwaondowa watu wenye fikra mgando tena mgando hasi kama hawaaaa?
kwa upande wangu nasubiri kwa hamu hilo ni jema kwetu

msema ukweliii hapendwiiiii daimaaaaaa:clap2:
Lete hoja za msingi acha kuvuruga akili zetu
 
Nina furaha kubwa kuona kuwa Chadema inajipanga kuwaunganisha WaTanzania wote bila ya kujali itikadi za kidini.
Umoja huo ambao ndio muhimu katika kuiondoa CCM iliyodumu madarakani kwa nusu karne sasa,tumeona Tunis,Misri na kwengineko ,umoja wa wanancho umeweza kufanikisha wakoloni wazalendo kuondolewa madarakani baada ya kuishi ndani ya madaraka na kutotaka kuondoka.
Chadema katika mbiu hii ya kuwaunganisha wananchi wa Taifa hili la Tanzania sio itaweza kumuondoa kiongozi bali itaweza kukiondoa Chama kilichoimeza Tanzania tokea ipate uhuru.

wasiokujua tu ndo watachangia hizi pumba.
 
Lete hoja za msingi acha kuvuruga akili zetu

Hoja za msingi ni kukubali kuwa Chadema hivi sasa ina mtandao ambao unajulikana kila sehemu ,kilichobaki ni uwezo wa Chadema kujieleza mbele ya wananchi na kuwashawishi kuwa lengo ni kuiondoa CCM kwenye utawala ,si kumuondoa Kikwete au Makamba ,kuwaunganisha wananchi kwa lengo moja tu la kuiondoa CCM.
 
Back
Top Bottom