CHADEMA;KUTOKA WAJENGA HOJA 2007 HADI WAZUA VIOJA 2017

Maramla

JF-Expert Member
Jan 8, 2014
584
644
Hakika ni muongo mmoja uliosheheni maajabu maajabu na maajabu.Ni vioja.

Arsenal na Simba bado wanahaha miaka kadhaa ya ukame wa kukosa ubingwa, Marekani bado inahaha kutuliza ghasia walizoziibua wenyewe Afghanstan.

Lakini Tanzania nako maajabu hayakosekani.Nianze na yale chanya; JPM anasafisha nchi ni feki feki feki kuanzia mwalimu hadi mwanafunzi, lakini Yanga inaendelea kubweda tu na makombe, Serengeti Boyz ndio habari ya mjini!

Vituko sasa; ni muongo mmoja wa vituko na vioja, kule Marekani jamaa mmoja ameumwa na nyoka alipojaribu kumbusu mnyama huyo hatari

Lakini kali ni hii: baada ya miaka kadhaa ya kukosa hoja ya kisiasa na kufilisika kabisa katika ujenzi wa hoja, Chadema wametoa mpya Arusha.

Walijaribu kiki ya kulalamika Mbunge wao kutopewa nafasi ya kuongea, tena katika mkutano ambao hata wazazi wa marehemu na ndugu tu hawakupata nafasi hiyo wala kuililia, wakaona kiki hii imebuma;

Pili, wakiwa mpaka sasa hatuhasikia mchango wao kwa wafiwa wala majeruhi wa ajali ya wanafunzi Arusha, wakaibuka kupigania eti wafiwa hawajapewa rambirambi zao??

RC Gambo kiboko yao alipomwaga hadharani takwimu za michango iliyopatikana (ambapo hakuna hata senti ya mchango wa Chadema) wakaona kiki hiyo nayo imebuma!

Sasa sikiliza kiki ya tatu na ya mwisho katika siasa za hawa jamaa kabla hawajakaa kimya kusubiri tukio jingine walitumie kisiasa;

Katika kiki hii wamekusanya viunga, vidagaa, vimafuta na kulazimisha baadhi ya ndugu wa marehemu na kudai eti wanakwenda kuwapa misaada (wamesahau hawa ni wafiwa na wameshazika siku nyingi sio waathirika wa mafuruko)

Cha ajabu wanabagua kwa kuwapa watu wao tu (Serikali ingefanya hivi looh) huku wakikusanya kundi kubwa la wanafunzi, wanahabari na kuanzisha na mikutano isiyo na tija na maandamano (kisa kupeleka vidagaa vyao).

Hivi hawa jamaa ndio wangetoa majeneza yote 35, kugharamia maziko ya watu wote 35 na kugharamia tiba ya watoto wale wa3 wakiwa na maumivu hospitali pale Mount Meru au wangekodi ndege kuwapeleka majeruhi Marekani ingekuwaje?‍♂‍♂

Hizi ndio siasa za kilaza anayeongozwa na vilaza. Mungu atuepushe na janga hili dah!

Ndio maana nitaendelea kumkumbuka sana legal jurist na bingwa wa falsafa, mjenzi makini wa hoja na galacha wa canon laws, Dr. Wilbroad Slaa.Aendelee kupumzika Mzee wetu huyu.

Political Jurist wa Udom
 
Naomba nijibu kwanini gambo siku ya kwanza alisema kila familia imepewa 2mil+!
Baada ya watu kuanza kuhoji akasema familia zitapewa!
Alikuwa anadanganya kwa lengo gani?
 
Mleta mada hapo Udom uko kama mwanafunzi au mfanyakazi wa wizara unayelala kwenye majengo ya Udom??
 
Hakika ni muongo mmoja uliosheheni maajabu maajabu na maajabu.Ni vioja.

Arsenal na Simba bado wanahaha miaka kadhaa ya ukame wa kukosa ubingwa, Marekani bado inahaha kutuliza ghasia walizoziibua wenyewe Afghanstan.

Lakini Tanzania nako maajabu hayakosekani.Nianze na yale chanya; JPM anasafisha nchi ni feki feki feki kuanzia mwalimu hadi mwanafunzi, lakini Yanga inaendelea kubweda tu na makombe, Serengeti Boyz ndio habari ya mjini!

Vituko sasa; ni muongo mmoja wa vituko na vioja, kule Marekani jamaa mmoja ameumwa na nyoka alipojaribu kumbusu mnyama huyo hatari

Lakini kali ni hii: baada ya miaka kadhaa ya kukosa hoja ya kisiasa na kufilisika kabisa katika ujenzi wa hoja, Chadema wametoa mpya Arusha.

Walijaribu kiki ya kulalamika Mbunge wao kutopewa nafasi ya kuongea, tena katika mkutano ambao hata wazazi wa marehemu na ndugu tu hawakupata nafasi hiyo wala kuililia, wakaona kiki hii imebuma;

Pili, wakiwa mpaka sasa hatuhasikia mchango wao kwa wafiwa wala majeruhi wa ajali ya wanafunzi Arusha, wakaibuka kupigania eti wafiwa hawajapewa rambirambi zao??

RC Gambo kiboko yao alipomwaga hadharani takwimu za michango iliyopatikana (ambapo hakuna hata senti ya mchango wa Chadema) wakaona kiki hiyo nayo imebuma!

Sasa sikiliza kiki ya tatu na ya mwisho katika siasa za hawa jamaa kabla hawajakaa kimya kusubiri tukio jingine walitumie kisiasa;

Katika kiki hii wamekusanya viunga, vidagaa, vimafuta na kulazimisha baadhi ya ndugu wa marehemu na kudai eti wanakwenda kuwapa misaada (wamesahau hawa ni wafiwa na wameshazika siku nyingi sio waathirika wa mafuruko)

Cha ajabu wanabagua kwa kuwapa watu wao tu (Serikali ingefanya hivi looh) huku wakikusanya kundi kubwa la wanafunzi, wanahabari na kuanzisha na mikutano isiyo na tija na maandamano (kisa kupeleka vidagaa vyao).

Hivi hawa jamaa ndio wangetoa majeneza yote 35, kugharamia maziko ya watu wote 35 na kugharamia tiba ya watoto wale wa3 wakiwa na maumivu hospitali pale Mount Meru au wangekodi ndege kuwapeleka majeruhi Marekani ingekuwaje?‍♂‍♂

Hizi ndio siasa za kilaza anayeongozwa na vilaza. Mungu atuepushe na janga hili dah!

Ndio maana nitaendelea kumkumbuka sana legal jurist na bingwa wa falsafa, mjenzi makini wa hoja na galacha wa canon laws, Dr. Wilbroad Slaa.Aendelee kupumzika Mzee wetu huyu.

Political Jurist wa Udom
we ni mamluki huna loloteeee...pole sana
 
uzi wako utazani una soma gazeti la udaku ujui ukurasa wa michezo ni upi,wa mbele ni upi full kande hapo
 
Ni ngumu sana kulisafisha doa jeusi ili litoke kwenye nguo ya rangi nyeupe. ..wananchi wamekosa imani hivi sasa. Achilia mbali hali ngumu ya maisha inayoikabili kila kaya masikini , lakini huko kwenye rambirambi za wahanga ndio mmeharibu kabisa..!
 
hakuna kitu kibaya kama kushabikia...mleta mada unashabikia ccm cha kusikitisha yenyewe haikushabikii
 
Huyu naye kaja kudhalilisha chuo cha UDOM. Hivi kwa akili za msomi unakubaliana na Gambo kuwaweka ndani watumishi wa Mungu,wakati walikuwa wakitekeleza majukumu yao? Kutoa pole kwa wafiwa ni kiki? Chadema wao wameona watoe pole yao wewe inakuuma nini. Yaani hawa ndio wanafanya UDOM ionekane ina vilaza.
 
Hakika ni muongo mmoja uliosheheni maajabu maajabu na maajabu.Ni vioja.

Arsenal na Simba bado wanahaha miaka kadhaa ya ukame wa kukosa ubingwa, Marekani bado inahaha kutuliza ghasia walizoziibua wenyewe Afghanstan.

Lakini Tanzania nako maajabu hayakosekani.Nianze na yale chanya; JPM anasafisha nchi ni feki feki feki kuanzia mwalimu hadi mwanafunzi, lakini Yanga inaendelea kubweda tu na makombe, Serengeti Boyz ndio habari ya mjini!

Vituko sasa; ni muongo mmoja wa vituko na vioja, kule Marekani jamaa mmoja ameumwa na nyoka alipojaribu kumbusu mnyama huyo hatari

Lakini kali ni hii: baada ya miaka kadhaa ya kukosa hoja ya kisiasa na kufilisika kabisa katika ujenzi wa hoja, Chadema wametoa mpya Arusha.

Walijaribu kiki ya kulalamika Mbunge wao kutopewa nafasi ya kuongea, tena katika mkutano ambao hata wazazi wa marehemu na ndugu tu hawakupata nafasi hiyo wala kuililia, wakaona kiki hii imebuma;

Pili, wakiwa mpaka sasa hatuhasikia mchango wao kwa wafiwa wala majeruhi wa ajali ya wanafunzi Arusha, wakaibuka kupigania eti wafiwa hawajapewa rambirambi zao??

RC Gambo kiboko yao alipomwaga hadharani takwimu za michango iliyopatikana (ambapo hakuna hata senti ya mchango wa Chadema) wakaona kiki hiyo nayo imebuma!

Sasa sikiliza kiki ya tatu na ya mwisho katika siasa za hawa jamaa kabla hawajakaa kimya kusubiri tukio jingine walitumie kisiasa;

Katika kiki hii wamekusanya viunga, vidagaa, vimafuta na kulazimisha baadhi ya ndugu wa marehemu na kudai eti wanakwenda kuwapa misaada (wamesahau hawa ni wafiwa na wameshazika siku nyingi sio waathirika wa mafuruko)

Cha ajabu wanabagua kwa kuwapa watu wao tu (Serikali ingefanya hivi looh) huku wakikusanya kundi kubwa la wanafunzi, wanahabari na kuanzisha na mikutano isiyo na tija na maandamano (kisa kupeleka vidagaa vyao).

Hivi hawa jamaa ndio wangetoa majeneza yote 35, kugharamia maziko ya watu wote 35 na kugharamia tiba ya watoto wale wa3 wakiwa na maumivu hospitali pale Mount Meru au wangekodi ndege kuwapeleka majeruhi Marekani ingekuwaje?‍♂‍♂

Hizi ndio siasa za kilaza anayeongozwa na vilaza. Mungu atuepushe na janga hili dah!

Ndio maana nitaendelea kumkumbuka sana legal jurist na bingwa wa falsafa, mjenzi makini wa hoja na galacha wa canon laws, Dr. Wilbroad Slaa.Aendelee kupumzika Mzee wetu huyu.

Political Jurist wa Udom
mbunge form two dropout mwenye historia ya wizi wa magari..hatari kubwa kutegemea alete maendeleo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom