Ndugai mwache aendelee kuwapalilia wake zao kutoka nchi jirani ya Zanzibar yenye mipaka yake iliyozungukwa na visiwa na maji ya bahari lakini ninauhakika hakuna asiyejua ukweli CCM A kwa kusaidiwa na CCM B watachezeshwa ngoma na muziki wake utakuwa mtamu sana