Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,951
Miaka ya kuelekea 2010 ilikuwa na mvuto kiasi kwamba kuonesha dalili ya kuwa na chama kikomavu kingine cha siasa nchini.
Nasikitika kukiona sasa kinapoteza dira. Hii inasababishwa na kukosa mipango ya mda mrefu, kukosa ilani na kutokuwa na mtazamo wa kichama. Democrasia imekuwa jina tu ndani ya chama hicho huku kikiwafumba midomo watu wanaojaribu kuelezea hisia zao ndani na nje ya chama.
Kwa sasa kimepoteza mwelekeo na kurukia kila kinachoonekana mbele. Kilikuwa na mpango m4c, mpango umeishia kwenye kikapu na kuanza kurukia mambo ya UKAWA. Baada ya ukawa kuanza kutoa matamko yasiyo na tija nchini. matamko yasio itakia mema nchi yetu nzuri.
Ukikuta mtu anaanza kuropoka ropoka ujue ndio mwisho wake wa mawazo mbadala. Wabunge wote wa CHADEMA Dar es salaam hawatarudi bungeni. Sidhani kama Tumdu lisu nae ataingia mjemgoni.
Kimekosa mvuto na kutegemea huruma ya wananchi. Watu kuropoka ropoka huku mishipa imewasimama. Sugu na Msigwa hawata ingia tena mjengoni ndio kwa heri tena. Zitto Kabwe hagombei ubunge. Ndesabulo kazeeka. Mbowe atataka kugombea urais, Slaa atarudi kundini.
Labda atakaye baki Nasari.
Nasikitika kukiona sasa kinapoteza dira. Hii inasababishwa na kukosa mipango ya mda mrefu, kukosa ilani na kutokuwa na mtazamo wa kichama. Democrasia imekuwa jina tu ndani ya chama hicho huku kikiwafumba midomo watu wanaojaribu kuelezea hisia zao ndani na nje ya chama.
Kwa sasa kimepoteza mwelekeo na kurukia kila kinachoonekana mbele. Kilikuwa na mpango m4c, mpango umeishia kwenye kikapu na kuanza kurukia mambo ya UKAWA. Baada ya ukawa kuanza kutoa matamko yasiyo na tija nchini. matamko yasio itakia mema nchi yetu nzuri.
Ukikuta mtu anaanza kuropoka ropoka ujue ndio mwisho wake wa mawazo mbadala. Wabunge wote wa CHADEMA Dar es salaam hawatarudi bungeni. Sidhani kama Tumdu lisu nae ataingia mjemgoni.
Kimekosa mvuto na kutegemea huruma ya wananchi. Watu kuropoka ropoka huku mishipa imewasimama. Sugu na Msigwa hawata ingia tena mjengoni ndio kwa heri tena. Zitto Kabwe hagombei ubunge. Ndesabulo kazeeka. Mbowe atataka kugombea urais, Slaa atarudi kundini.
Labda atakaye baki Nasari.