Ukwel mtupu
Member
- Jan 30, 2014
- 40
- 8
Wakuu kuna uwezekano mkubwa wa chadema kushinda katika jimbo la kalenga kutokana na ccm kumchagua mtoto wa marehemu dr mgimwa kuwa mrithi wa baba yake jambo lililopelekea ccm kuonekana kama chama cha familia. Mfano mzuri ni arumeru mashariki ambako mh nassari alichukua ushindi mapema kutokana na ccm kumchagua sioi sumari kumrithi baba yake hali iliyopelekea wapiga kura kukasirika na hivyo kuichagua chadema