MWananyati
Senior Member
- Feb 3, 2011
- 160
- 53
Kirusi kirusi kweli.... MM,MM1, MM2, MM3.... Ndo yule aliyekuwa amebaki?
Mkuu upo Kyela?...
....magogoni ileeee LOWASA songa mbele !!!
Pasco mjanja sana, yaani ni mtoto wa mjini hasa, nilishangaa sana kuukosa u MC pale Arusha, siku ile Rolassa anatangaza nia kwa upande wa CCM,Tatizo la Pasco mafumbo meeeengi! Sema tu kuwa kirusi ni Dokta Slaa. Unaficha ficha nini?
Mode, huu ni uzi wa 6th April 2013, ambao kwa sasa umefungwa!.
CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?
Mwaka huo ulizungumzia tuu kirusi, maadam sasa kirusi hiki kimeshabainika, nadhani ni haki kwa uzi huu ukifunguliwa ili watu wanaodhani huu usaliti ulianza juzi tuu kwa ujio wa Lowassa, wajue usaliti huu, ulianza zamani!, na kuna sisi tuliouona na kuuzungumza tangu zamani bado kinyoka kikiwa bado kidogo, wakati huo kinakula ndani kwa ndani kwa kudonoa donoa tuu, au kinang'ata huku kinapulizia!, ili kidhibitiwe mapema, lakini hatukusikilizwa, hadi leo limekua ni li joka likubwa lenye uwezo wa kumeza!, limekata minyororo na kuanza kuitafuna Chadema kwa nje linataka kuimeza!.
Pasco
Mode, huu ni uzi wa 6th April 2013, ambao kwa sasa umefungwa!.
CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?
Mwaka huo ulizungumzia tuu kirusi, maadam sasa kirusi hiki kimeshabainika, nadhani ni haki kwa uzi huu ukifunguliwa ili watu wanaodhani huu usaliti ulianza juzi tuu kwa ujio wa Lowassa, wajue usaliti huu, ulianza zamani!, na kuna sisi tuliouona na kuuzungumza tangu zamani bado kinyoka kikiwa bado kidogo, wakati huo kinakula ndani kwa ndani kwa kudonoa donoa tuu, au kinang'ata huku kinapulizia!, ili kidhibitiwe mapema, lakini hatukusikilizwa, hadi leo limekua ni li joka likubwa lenye uwezo wa kumeza!, limekata minyororo na kuanza kuitafuna Chadema kwa nje linataka kuimeza!.
Pasco
unataka kusema dr slaa? toa ufafanuzi
Ila yule mke wa slaa yule ananipa wasi wasi sana, hata anavyoongea ongea tu inaonekana kuna kitu na yupo na slaa kimaslai sana
Sasa naona aise, ila kitengo kwenye hili nimewakubali, ila mwisho wa picha atamkimbia SLAA baada ya kazi kufanyika nusu, maana SLAA angeteuliwa na ukawa tu, ccm wangerudi madarakani kiulaini sana, maana mipango yote angeikamilisha, ingeshindikana kabisa labda angemcadava kati kati ya safari, ni hatari lakini salamaNilianza kumshuku yule MAADAM kama alivyomwita Pasco pale kulipoibuka tuhuma za mtu kuingia ktk mfumo wa computer ya Dr Slaa,mengi yalizungumzwa lkn mimi mtuhumiwa wangu namba moja alikuwa yule MAADAM na nakumbuka niliwahi kutoa angalizo kwa CHADEMA kuwa macho naye kwani yawezekana yupo hapo kwa kazi maalum ya kumpoteza Dr Slaa kisiasa na kuhihujumu CHADEMA,mwaka mmoja baadaye ndo haya yameibuka.
Pasco bana,eti Y=Z,let me crack it in my own way,Y is as equal to Z as Husband is to the Wife!!!