johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,995
- 142,010
Wengi wanadhani Komredi Makonda ana jambo lake na CHADEMA, hapana Mwenezi hana Shughuli yoyote na CHADEMA
Komredi Makonda ana Jukumu moja tu la kuhakikisha CCM chini ya Mwenyekiti Rais Dr Samia Suluhu Hassan inakuwa moja
CCM kuna Makundi na Chama kinaamini Umoja ni Ushindi so Makonda atayauwa Makundi Yote na kuibakiza CCM ikiwa Moja yenye Umoja
Mlale Unono 😀😀
Komredi Makonda ana Jukumu moja tu la kuhakikisha CCM chini ya Mwenyekiti Rais Dr Samia Suluhu Hassan inakuwa moja
CCM kuna Makundi na Chama kinaamini Umoja ni Ushindi so Makonda atayauwa Makundi Yote na kuibakiza CCM ikiwa Moja yenye Umoja
Mlale Unono 😀😀