PreGE2025 Chadema kukusanya saini million 15 nchi nzima za Watanzania wanaounga mkono kampeni yao ya mabadiliko nchini na kisha kuiwasilisha kimataifa

PreGE2025 Chadema kukusanya saini million 15 nchi nzima za Watanzania wanaounga mkono kampeni yao ya mabadiliko nchini na kisha kuiwasilisha kimataifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Chadema kukusanya saini million 15 nchi nzima za watanzania wanaounga mkono kampeni yao ya mabadiliko nchini na kisha kuiwasilisha kimataifa.

" Chama Kikuu cha upinzani Tanzania CHADEMA kimesema kitakusanya saini za watanzania milioni 15 wanaounga mkono kampeni yao ya mageuzi ya 'no reform no election' na kuziwasilisha Umoja wa Mataifa."

Chama hicho kinasema hakiwezi kwenda katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu, bila kuwa na mabadiliko ya sheria za uchaguzi, Katiba na mifumo mingine ambayo inatoa mwanya kwa Chama tawala CCM kuendesha uchaguzi usio wa huru na haki.

Saini hizo million 15 zitachangia kushinikiza mabadiliko ya kiuchaguzi kwamba uchaguzi ukifanyika bila sauti za wananchi hao ni batili je inaweza kuingiza nchi kwenye mabadiliko?

Je, samia atalazimisha uchaguzi bila watanzania million 15 kutaka mabadiliko kwanza ?
 
FB_IMG_17486146948914390.jpg
 
Mbona rahisi tu huo utapeli wa CHADEMA

Binafsi naweza jifungia ndani nikaandika majina ya kufoji na sahihi za kufoji hadi yakafika milioni 15

Na kuwakikilisha kwa hao wajinga wa kimataifa

It is not a big deal
 
Mbona rahisi tu huo utapeli wa CHADEMA

Binafsi naweza jifungia ndani nikaandika majina ya kufoji na sahihi za kufoji hadi yakafika milioni 15

Na kuwakikilisha kwa hao wajinga wa kimataifa

It is not a big deal
Saini hizo zitachukuliwa kwa video na ushahidi kwa kila anae saini kwenye kampeni zao.
 
Chadema kukusanya saini million 15 nchi nzima za watanzania wanaounga mkono kampeni yao ya mabadiliko nchini na kisha kuiwasilisha kimataifa.

" Chama Kikuu cha upinzani Tanzania CHADEMA kimesema kitakusanya saini za watanzania milioni 15 wanaounga mkono kampeni yao ya mageuzi ya 'no reform no election' na kuziwasilisha Umoja wa Mataifa."
Mbona rahisi tu huo utapeli wa CHADEMA

Binafsi naweza jifungia ndani nikaandika majina ya kufoji na sahihi za kufoji hadi yakafika milioni 15

Na kuwakikilisha kwa hao wajinga wa kimataifa

It is not a big deal
 
Mbona rahisi tu huo utapeli wa CHADEMA

Binafsi naweza jifungia ndani nikaandika majina ya kufoji na sahihi za kufoji hadi yakafika milioni 15

Na kuwakikilisha kwa hao wajinga wa kimataifa

It is not a big deal
Wanasaini Mbele ya camera kwa foleni hakuna janja janja dogo
 
Mbona rahisi tu huo utapeli wa CHADEMA

Binafsi naweza jifungia ndani nikaandika majina ya kufoji na sahihi za kufoji hadi yakafika milioni 15

Na kuwakikilisha kwa hao wajinga wa kimataifa

It is not a big deal
Wewe unadhani walioanzisha huo utaratibu hawakuwaza kuhusu hicho unachokifikiria. Au unadhani hiyo imekuwa ni mambo ya referrals za online jobs.
 
Mbona rahisi tu huo utapeli wa CHADEMA

Binafsi naweza jifungia ndani nikaandika majina ya kufoji na sahihi za kufoji hadi yakafika milioni 15

Na kuwakikilisha kwa hao wajinga wa kimataifa

It is not a big deal
Ukaandika hivi unajua inachukua muda gani na nguvu kiasi gani kufoji majina million 1 tu😁
 
Wewe unadhani walioanzisha huo utaratibu hawakuwaza kuhusu hicho unachokifikiria. Au unadhani hiyo imekuwa ni mambo ya referrals za online jobs.
Mambo ya nchi ziliendelea hayo wewe kwenye teknolojia ya juu sana na uwezo mkubwa kifedha

Wewe utasainisha watu milioni 15 unafikiri ripori wanapokea kibwege tu kuwa mradi wewe umeleta basi wakubali

Kuna verification processs ambayo ni very expensive operations kwao Utawalipia pesa wewe za kuja ku verify? Lofa wewe

Mnajadili ujinga kwenye vikao vyenu.

Tukiwaambia hakikisheni vyama vyenu vina wasomi wakubwa wabobezi siasa za kimataifa mnajaza wahuni akina Godbles Lema na akina Mnyika na akina Rose Mayemba nk
 
Back
Top Bottom