PreGE2025 CHADEMA kujiondoa kwenye uchaguzi ni kama nchi nzima kususia uchaguzi wa nchi

PreGE2025 CHADEMA kujiondoa kwenye uchaguzi ni kama nchi nzima kususia uchaguzi wa nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Chama kikuu cha upinzani cha CHADEMA kujiondoa kwenye uchaguzi ni kama nchi nzima kususia uchaguzi wa nchi.

Hakuna mtu atakayeenda kupiga kura na watu wasipo piga kura karibu nchi nzima, mtu asitokee akajitangaza kuwa ni Rais, hakuna Rais bila kupigiwa kura na wananchi nchi nzima na kuridhia yeye awe Rais huku nikupeleka nchi kwenye machafuko na mageuzi.

Usipo pigiwa kura na wananchi uwezi kuwa Rais bali muhalifu na muhaini unapokonya haki za watanzania mziki hautakuwa mdogo.
 
Hakuna mtu atakaye enda kupiga kura na watu wasipo piga kura karibu nchi nzima, mtu asitokee akajitangaza kuwa ni raisi, hakuna raisi bila kupigiwa kura na wananchi nchi nzima na kuridhia yeye awe raisi huku nikupeleka nchi kwenye machafuko na m
hizi takwimu kuwa hakuna mtu atakwenda kupiga kura huwa mnazitoa wapi?
 
Huku mtaani kwangu cjawah kuona wakiongea khs uchaguzi, chadema kususia uchaguzi, vyama vingine kushiriki uchaguzi, kwa ufupi n kila mtu ana pambana na maisha yake.

Na kwa kifupi hao wafu wa mtaani kwako hawana impact ni kama watu, ndo wale Kenyata aliwaongelea, Si unaishi lake Eyasi kwa wa Hadzabe? Kwa Chaaba na Duduqe
 
Chama kikuu cha upinzani cha Chadema kujiondoa kwenye uchaguzi ni kama nchi nzima kususia uchaguzi wa nchi.

Hakuna mtu atakaye enda kupiga kura na watu wasipo piga kura karibu nchi nzima, mtu asitokee akajitangaza kuwa ni raisi, hakuna raisi bila kupigiwa kura na wananchi nchi nzima na kuridhia yeye awe raisi huku nikupeleka nchi kwenye machafuko na mageuzi.

Usipo pigiwa kura na wananchi uwezi kuwa raisi bali muhalifu na muhaini unapokonya haki za watanzania mziki hautakuwa md
 
Chama kikuu cha upinzani cha Chadema kujiondoa kwenye uchaguzi ni kama nchi nzima kususia uchaguzi wa nchi.

Hakuna mtu atakaye enda kupiga kura na watu wasipo piga kura karibu nchi nzima, mtu asitokee akajitangaza kuwa ni raisi, hakuna raisi bila kupigiwa kura na wananchi nchi nzima na kuridhia yeye awe raisi huku nikupeleka nchi kwenye machafuko na mageuzi.

Usipo pigiwa kura na wananchi uwezi kuwa raisi bali muhalifu na muhaini unapokonya haki za watanzania mziki hautakuwa mdogo.
WE UTAKUNYIA KITANDANI KWA SABABU YA NDOTO ZAKO, AMKE UNYE.. TOKA NDOTONI.
 
Chama kikuu cha upinzani cha Chadema kujiondoa kwenye uchaguzi ni kama nchi nzima kususia uchaguzi wa nchi.

Hakuna mtu atakaye enda kupiga kura na watu wasipo piga kura karibu nchi nzima, mtu asitokee akajitangaza kuwa ni raisi, hakuna raisi bila kupigiwa kura na wananchi nchi nzima na kuridhia yeye awe raisi huku nikupeleka nchi kwenye machafuko na mageuzi.

Usipo pigiwa kura na wananchi uwezi kuwa raisi bali muhalifu na muhaini unapokonya haki za watanzania mziki hautakuwa mdogo.
wanapanga kuwagawia CHAUMMA vibegi vya kura feki!
 
hizi takwimu kuwa hakuna mtu atakwenda kupiga kura huwa mnazitoa wapi?
chama kikuu cha upinzani kujitoa kwenye uchaguzi ni kwamba wananchi wengi wa chama hicho hawato piga kura hizi ni takwimu nilizo zitumia kutakuwq kuna wimbi kubwa la wananchi wasiopiga kura.

Kukamatwa kwa kiongozi wa upinzani naukanadamizaji wa mabadiliko ya uchaguzi pia na mashinikizo yaliyotolewa yanaweza kuchangia suala hili.
 
Chama kikuu cha upinzani cha Chadema kujiondoa kwenye uchaguzi ni kama nchi nzima kususia uchaguzi wa nchi.

Hakuna mtu atakaye enda kupiga kura na watu wasipo piga kura karibu nchi nzima, mtu asitokee akajitangaza kuwa ni raisi, hakuna raisi bila kupigiwa kura na wananchi nchi nzima na kuridhia yeye awe raisi huku nikupeleka nchi kwenye machafuko na mageuzi.

Usipo pigiwa kura na wananchi uwezi kuwa raisi bali muhalifu na muhaini unapokonya haki za watanzania mziki hautakuwa mdogo.
Wamejiondoa au wameondolewa
 
Back
Top Bottom