Baadhi ya viongozi wa CHADEMA huwezi kuwatenganisha na ubaguzi.
Kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la Chalinze, hatukuona Helikopta kwa sababu mgombea hakuwa 'mwenzao'.
Kwa sasa kwa vile watakao fanya mikutano ni 'wenzao', ndiyo maana tunasikia wanasema watatumia helikopta.
Ubaguzi umewafanya mpaka wasione hata aibu kwenye uwiano wa matumizi ya resources ndani ya chama.