Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
ya kale hii, kabla ya viapo vya kichawi
Kumbee nimebaki nikishangaa!
ya kale hii, kabla ya viapo vya kichawi
Kumbee nimebaki nikishangaa!
Na hilo la LUDOVICK kuwa katibu akakosea kwa sababu Ludovick alikuwa mwenyekiti na wala hakuwa katibu.katibu alikuwa jumanne nyakirangh,ANYI.watu wanafuatilia nani aliyekuwa anatumia hii id. Ukiangalia walioquote mapema jina la katibu ni festo sanga ila baada ya kuona nzi wamejaa choo cha kuflash akajua kwamba amekunya pembeni ikabidi aedit jina la katibu na kuweka ludovic.