Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hilo machawa wa ccm kina kipara kipya hawalijui hilo wao wanaamini ccm ya JiweWazo zuri kwa sababu baba yake kiongozi wa Chadema aliwahi kumpa nauli Nyerere kwenda UN kudai uhuru.
Hilo machawa wa ccm kina kipara kipya hawalijui hilo wao wanaamini ccm ya JiweWazo zuri kwa sababu baba yake kiongozi wa Chadema aliwahi kumpa nauli Nyerere kwenda UN kudai uhuru.
nitajie kiongozi wa nchi hii katika hawa waliopo aliyeshiriki kutafuta uhuru wa Tanganyika , anzia na Hangaya , njoo kwa Dr Mpango na wengineNyie bavichaa ni vichaa kweli kweli Uhuru wa Tanganyika ni Uhuru wa ccm sio nyie vichaa.
Inabidi upuuzwe kwa kushindwa kutofautisha nchi na chama.Nyie bavichaa ni vichaa kweli kweli Uhuru wa Tanganyika ni Uhuru wa ccm sio nyie vichaa.
Uliangusha kitambulisho chako pale ulipojaribu kukwapua ule mkoba wa yule dada!Wewe ni chawa wa jiwe kaa pembeni maana kwa sasa sisi kina Mkojani ndiyo zamu yetu tunatamba.
Kweli nimeamini kuzaa siyo kupataUliangusha kitambulisho chako pale ulipojaribu kukwapua ule mkoba wa yule dada!
Kibali wamepata,?Kongamano hilo Litafanyika makao makuu ya Chama Nje ya Jiji la Dar es Salaam huko kinondoni mtaa maarufu sana wa Ufipa tarehe 9/12/2021
Muhimu : Tufuate mwongozo wa WHO wa kujikinga na maambukizi ya Corona .
Wote Mnakaribishwa
View attachment 2025673
Napenyezewa na watu wako wa karibu wamekukalisha chini ili uwache lakini husikii!Kweli nimeamini kuzaa siyo kupata
Watanganyika halisi hii si ya kukosa.Kongamano hilo Litafanyika makao makuu ya Chama Nje ya Jiji la Dar es Salaam huko kinondoni mtaa maarufu sana wa Ufipa tarehe 9/12/2021
Muhimu : Tufuate mwongozo wa WHO wa kujikinga na maambukizi ya Corona .
Wote Mnakaribishwa
View attachment 2025673
Kule ngorongoro na Tabora wao hakuna ugaidi wala uviko.Safari hii sio tishio la ugaidi wataambiwa kuna wimbi jipya la UVIKO! Maajabu hayatakoma
Uhuru wa nchi sio wa ccm Mwamba jiongoze basi hata kidogo hata kama unalipwa per comment/ postKwa taarifa na kauli mnasusia kila kitu cha nchi hii uhuru unawahusu nini!
Chama Cha ccm ndo kilipigania Uhuru wa nchi hii.Inabidi upuuzwe kwa kushindwa kutofautisha nchi na chama.
Wahi MirembeChama Cha ccm ndo kilipigania Uhuru wa nchi hii.
Watasema kuna ujangiriKule ngorongoro na Tabora wao hakuna ugaidi wala uviko.
Kwa hiyo hamtakwenda uwanjani kuadhimisha pamoja Watanzania wengine? Mimi nashauri mwende uwanjani kwanza, halafu mkitoka baadaye jioni ndio mfanye hilo kongamano!Kongamano hilo Litafanyika makao makuu ya Chama Nje ya Jiji la Dar es Salaam huko kinondoni mtaa maarufu sana wa Ufipa tarehe 9/12/2021
Muhimu : Tufuate mwongozo wa WHO wa kujikinga na maambukizi ya Corona .
Wote Mnakaribishwa
View attachment 2025673
una uhakika ?Chama Cha ccm ndo kilipigania Uhuru wa nchi hii.
hilo Litafanyika makao makuu ya Chama Nje ya Jiji la Dar es Salaam huko kinondoni mtaa maarufu sana wa Ufipa tarehe 9/12/2021
Muhimu : Tufuate mwongozo wa WHO wa kujikinga na maambukizi ya Corona .
Wote Mnakaribishwa
View attachment 2025673
taarifa na kauli mnasusia kila kitu cha nchi hii uhuru unawahusu nini!
NitahudhuriaWote Mnakaribishwa