CHADEMA kufanya kongamano kesho, kupinga ubaguzi wa rangi

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) Kesho watafanya Kongamano (Vuguvugu) LA kupinga ubaguzi wa Rangi unaofanywa na Ccm kule Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.

Tunaomba ushirikiano wenu wa hali na Mali ili kufikisha ujumbe huu kila kona ya nchi hii,na kukomesha kabisa Ubaguzi huu ambao unaelekea kuliingiza Taifa letu kwenye machafuko makubwa sana.

Aidha Vuguvugu hili litahudhuriwa na vijana wote bila kujali vyama vyao kwa kuwa ubaguzi huu una madhara kwa kila mmoja wetu,

Mzungu mzaji wa Kongamano hili ni Viongozi mbalimbali pamoja na Msemaji wa Baraza hilo EDWARD SIMBEYE ,Tunaomba mfike wote bila kukosa

Wasalamu
Edward SIMBEYE
Mwenezi BAVICHA Taifa
 
Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) Kesho watafanya Kongamano (Vuguvugu) LA kupinga ubaguzi wa Rangi unaofanywa na Ccm kule Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.

Tunaomba ushirikiano wenu wa hali na Mali ili kufikisha ujumbe huu kila kona ya nchi hii,na kukomesha kabisa Ubaguzi huu ambao unaelekea kuliingiza Taifa letu kwenye machafuko makubwa sana.

Aidha Vuguvugu hili litahudhuriwa na vijana wote bila kujali vyama vyao kwa kuwa ubaguzi huu una madhara kwa kila mmoja wetu,

Mzungu mzaji wa Kongamano hili ni Viongozi mbalimbali pamoja na Msemaji wa Baraza hilo EDWARD SIMBEYE ,Tunaomba mfike wote bila kukosa

Wasalamu
Edward SIMBEYE
Mwenezi BAVICHA Taifa
Lini hii kitu itafanyika tujiandae kabisa??
 
Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) Kesho watafanya Kongamano (Vuguvugu) LA kupinga ubaguzi wa Rangi unaofanywa na Ccm kule Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.

Tunaomba ushirikiano wenu wa hali na Mali ili kufikisha ujumbe huu kila kona ya nchi hii,na kukomesha kabisa Ubaguzi huu ambao unaelekea kuliingiza Taifa letu kwenye machafuko makubwa sana.

Aidha Vuguvugu hili litahudhuriwa na vijana wote bila kujali vyama vyao kwa kuwa ubaguzi huu una madhara kwa kila mmoja wetu,

Mzungu mzaji wa Kongamano hili ni Viongozi mbalimbali pamoja na Msemaji wa Baraza hilo EDWARD SIMBEYE ,Tunaomba mfike wote bila kukosa

Wasalamu
Edward SIMBEYE
Mwenezi BAVICHA Taifa

We simbeye Dr.kitila mkumbo alisema upinzani unaotegemea makosa ya chama tawala Ili kufanya siasa hufa kibudu....
 
Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) Kesho watafanya Kongamano (Vuguvugu) LA kupinga ubaguzi wa Rangi unaofanywa na Ccm kule Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.

Tunaomba ushirikiano wenu wa hali na Mali ili kufikisha ujumbe huu kila kona ya nchi hii,na kukomesha kabisa Ubaguzi huu ambao unaelekea kuliingiza Taifa letu kwenye machafuko makubwa sana.

Aidha Vuguvugu hili litahudhuriwa na vijana wote bila kujali vyama vyao kwa kuwa ubaguzi huu una madhara kwa kila mmoja wetu,

Mzungu mzaji wa Kongamano hili ni Viongozi mbalimbali pamoja na Msemaji wa Baraza hilo EDWARD SIMBEYE ,Tunaomba mfike wote bila kukosa

Wasalamu
Edward SIMBEYE
Mwenezi BAVICHA Taifa
Mkuu mbona hakuna sehemu na muda wa kukutana, Hii ni taarifa rasmi kweli au ni yako?
 
Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) Kesho watafanya Kongamano (Vuguvugu) LA kupinga ubaguzi wa Rangi unaofanywa na Ccm kule Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.

Tunaomba ushirikiano wenu wa hali na Mali ili kufikisha ujumbe huu kila kona ya nchi hii,na kukomesha kabisa Ubaguzi huu ambao unaelekea kuliingiza Taifa letu kwenye machafuko makubwa sana.

Aidha Vuguvugu hili litahudhuriwa na vijana wote bila kujali vyama vyao kwa kuwa ubaguzi huu una madhara kwa kila mmoja wetu,

Mzungu mzaji wa Kongamano hili ni Viongozi mbalimbali pamoja na Msemaji wa Baraza hilo EDWARD SIMBEYE ,Tunaomba mfike wote bila kukosa

Wasalamu
Edward SIMBEYE
Mwenezi BAVICHA Taifa

Naona Ile Siku Muhimu Ya Askari Police Wa Tanzania Kufanya Mazoezi Ya Kulenga Shabaha Kwa " NYUMBU " Aina Ya WAPUMBAVU Na MALOFA Imewadia.
 
Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) Kesho watafanya Kongamano (Vuguvugu) LA kupinga ubaguzi wa Rangi unaofanywa na Ccm kule Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.

Tunaomba ushirikiano wenu wa hali na Mali ili kufikisha ujumbe huu kila kona ya nchi hii,na kukomesha kabisa Ubaguzi huu ambao unaelekea kuliingiza Taifa letu kwenye machafuko makubwa sana.

Aidha Vuguvugu hili litahudhuriwa na vijana wote bila kujali vyama vyao kwa kuwa ubaguzi huu una madhara kwa kila mmoja wetu,

Mzungu mzaji wa Kongamano hili ni Viongozi mbalimbali pamoja na Msemaji wa Baraza hilo EDWARD SIMBEYE ,Tunaomba mfike wote bila kukosa

Wasalamu
Edward SIMBEYE
Mwenezi BAVICHA Taifa
Mmeanza utapeli kuna wabaguzi kama ninyi katika nchi hii
 
Usifuate mkumbo
 

Attachments

  • 1452965563181.jpg
    1452965563181.jpg
    23.2 KB · Views: 31
Back
Top Bottom