CHADEMA kuchangisha Milioni 350 ni maigizo na fedheha

Siamini na hainiingii akilini wanasiasa wote wale na mali wanazomiliki wameshindwa kulipa hizo pesa za hukumu.

Ninachokiamini hawa jamaa wanajaribu kutuaminisha wao ni wanyonge na masikini kwahiyo waonewe huruma.

Shangingi 2 zinatosha kutoa hio pesa, hakukuwa na sababu ya kuomba michango kuongopea watu nyie ni maskini.

Mimi sio na sitaki kumsemea hakimu ila nnachojaribu kusema wabunge zaidi ya 8 (wanaopokea 7M per month) kutoka chama kinachopokea ruzuku na misaada ya nje kuchangisha M350 ili kuwin the public ni fedheha kubwa.

Hio nguvu ya kuchangisha tunaomba waianze kwenye shughuli za maendeleo kwenye majimbo yao yaliyotelekezwa.

Usijibu kwa hisia nchi yetu sote,pande zote zinaweza kukosea.
Ahsante.



Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo lako ni mvivu wa kufikiri. Viongozi wa chadema walikuwa wanapigania haki y kuchagua ya Watanzani. Huwezi sema walipe faim hii wenyewe. Najua unajifanya umjinga lakn lengo lako nikuwakatisha tamaa Watusijitolee. Inaelekea umetumwa ni shetani lile la polepole la ua
 
Ndio maana anamafanikio siyo wale wasanii wanafiki
IMG-20200311-WA0011.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala hawajachangiwa na wananchi zaidi ya kuchangiwa na kabila lao kwa misingi ile ile ya ukabila na si wanachama kama wanavyojinasibu. Jana wachaga wote Nchi nzima usiku kucha wamekesha wakichanga hela.
Siamini na hainiingii akilini wanasiasa wote wale na mali wanazomiliki wameshindwa kulipa hizo pesa za hukumu.

Ninachokiamini hawa jamaa wanajaribu kutuaminisha wao ni wanyonge na masikini kwahiyo waonewe huruma.

Shangingi 2 zinatosha kutoa hio pesa, hakukuwa na sababu ya kuomba michango kuongopea watu nyie ni maskini.

Mimi sio na sitaki kumsemea hakimu ila nnachojaribu kusema wabunge zaidi ya 8 (wanaopokea 7M per month) kutoka chama kinachopokea ruzuku na misaada ya nje kuchangisha M350 ili kuwin the public ni fedheha kubwa.

Hio nguvu ya kuchangisha tunaomba waianze kwenye shughuli za maendeleo kwenye majimbo yao yaliyotelekezwa.

Usijibu kwa hisia nchi yetu sote,pande zote zinaweza kukosea.
Ahsante.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siamini na hainiingii akilini wanasiasa wote wale na mali wanazomiliki wameshindwa kulipa hizo pesa za hukumu.

Ninachokiamini hawa jamaa wanajaribu kutuaminisha wao ni wanyonge na masikini kwahiyo waonewe huruma.

Shangingi 2 zinatosha kutoa hio pesa, hakukuwa na sababu ya kuomba michango kuongopea watu nyie ni maskini.

Mimi sio na sitaki kumsemea hakimu ila nnachojaribu kusema wabunge zaidi ya 8 (wanaopokea 7M per month) kutoka chama kinachopokea ruzuku na misaada ya nje kuchangisha M350 ili kuwin the public ni fedheha kubwa.

Hio nguvu ya kuchangisha tunaomba waianze kwenye shughuli za maendeleo kwenye majimbo yao yaliyotelekezwa.

Usijibu kwa hisia nchi yetu sote,pande zote zinaweza kukosea.
Ahsante.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hizo kesi walizipata wakiwa njiani wakipeleka watoto wao shuleni au wakipigania haki na demokrasia kwa ajili yetu watuwakilishao?

Yule ananiwakilisha mimi,kapewa kesi akiwa katika jukumu hilo sasa iweje nisimchangie?
 
You may have a point.

Ile dhana ya mtu kuwajibika kwa matendo yake inakuwa haipo tena.

Sasa wale wanyonge wanazidi kunyongwa tu, hata kile kidogo wananyang'anywa.

Je, Nyerere kwa hukumu ile ya uchochezi ya 1958 aliwajibika kwa matendo yake? Watanganyika si walichanga hiyo faini ya 3000/=? Wananchi hawakubaliani na mashtaka dhidi ya viongozi wa Chadema. Wamebaini pia kuwa hukumu nayo ni ovu na ya kisiasa; yenye lengo la kuwakomoa hao viongozi na kuwadhoofisha kiuchumi. Muhimu zaidi Watanzania ni watu waungwana waliolelewa vizuri kisiasa; hawajapata kuona madaraka ya umma yakitumika kunyanyasa raia, kuendekeza chuki za kisiasa, kukomoana na kuoneana. Hicho ndicho kinachoendelea: kukataa matumizi mabaya ya madaraka ya umma.
 
Kwani kuna aliyekuomba uchangie chochote, kinachokuuma sasa hapo ni nini. Bogus kabisa.
 
Siamini na hainiingii akilini wanasiasa wote wale na mali wanazomiliki wameshindwa kulipa hizo pesa za hukumu.

Ninachokiamini hawa jamaa wanajaribu kutuaminisha wao ni wanyonge na masikini kwahiyo waonewe huruma.

Shangingi mbili zinatosha kutoa hiyo pesa, hakukuwa na sababu ya kuomba michango kuongopea watu nyie ni maskini.

Mimi sio na sitaki kumsemea hakimu ila ninachojaribu kusema wabunge zaidi ya 8 (wanaopokea 7M per month) kutoka chama kinachopokea ruzuku na misaada ya nje kuchangisha M350 ili kuwin the public ni fedheha kubwa.

Hio nguvu ya kuchangisha tunaomba waianze kwenye shughuli za maendeleo kwenye majimbo yao yaliyotelekezwa.

Usijibu kwa hisia nchi yetu sote,pande zote zinaweza kukosea.

Ahsante.



Sent using Jamii Forums mobile app
Unayasema aya ukiwa jela au uko wapi?? Paka jike wee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siamini na hainiingii akilini wanasiasa wote wale na mali wanazomiliki wameshindwa kulipa hizo pesa za hukumu.

Ninachokiamini hawa jamaa wanajaribu kutuaminisha wao ni wanyonge na masikini kwahiyo waonewe huruma.

Shangingi mbili zinatosha kutoa hiyo pesa, hakukuwa na sababu ya kuomba michango kuongopea watu nyie ni maskini.

Mimi sio na sitaki kumsemea hakimu ila ninachojaribu kusema wabunge zaidi ya 8 (wanaopokea 7M per month) kutoka chama kinachopokea ruzuku na misaada ya nje kuchangisha M350 ili kuwin the public ni fedheha kubwa.

Hio nguvu ya kuchangisha tunaomba waianze kwenye shughuli za maendeleo kwenye majimbo yao yaliyotelekezwa.

Usijibu kwa hisia nchi yetu sote,pande zote zinaweza kukosea.

Ahsante.

Nafikiri ‘public sympathy ‘ inaweza kuwa sababu lakini ni ndogo! Sababu kubwa ni ‘kuwazodoa’ wapinzani wao wa jadi! Lengo la mahakama kutoa hukumu ile ni kuwa fanya washitakiwa wajutie makosa yao, na pia iwe mfamo kwa wengine, ili wasitende makosa kama yale! Lengo ni kuwakomesha!! Sasa wao wamejibu mapigo, kwamba mamilioni tunayo lakini wanyonge wanauza mayai wanatukomboa!! Ukiangalia ‘katikati ya mistari’, utagundua kwamba jamaa ‘wamepiga’!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri ‘public sympathy ‘ inaweza kuwa sababu lakini ni ndogo! Sababu kubwa ni ‘kuwazodoa’ wapinzani wao wa jadi! Lengo la mahakama kutoa hukumu ile ni kuwa fanya washitakiwa wajutie makosa yao, na pia iwe mfamo kwa wengine, ili wasitende makosa kama yale! Lengo ni kuwakomesha!! Sasa wao wamejibu mapigo, kwamba mamilioni tunayo lakini wanyonge wanauza mayai wanatukomboa!! Ukiangalia ‘katikati ya mistari’, utagundua kwamba jamaa ‘wamepiga’!!
 
Kwahiyo wachaga sio wananchi, ni misukule??

Tatizo nini kijani na njano mnakwama wapi kwani wametoa mifukoni mwenu?

Nani anayepaswa kumshangaa mwenzake. Kati ya anayetoa pesa mfukoni kama ishara ya kupinga udhalimu na uonevu au anayetumia kodi zetu kuhamishia twiga nyumbani kwake?
Wala hawajachangiwa na wananchi zaidi ya kuchangiwa na kabila lao kwa misingi ile ile ya ukabila na si wanachama kama wanavyojinasibu. Jana wachaga wote Nchi nzima usiku kucha wamekesha wakichanga hela.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siamini na hainiingii akilini wanasiasa wote wale na mali wanazomiliki wameshindwa kulipa hizo pesa za hukumu.

Ninachokiamini hawa jamaa wanajaribu kutuaminisha wao ni wanyonge na masikini kwahiyo waonewe huruma.

Shangingi mbili zinatosha kutoa hiyo pesa, hakukuwa na sababu ya kuomba michango kuongopea watu nyie ni maskini.

Mimi sio na sitaki kumsemea hakimu ila ninachojaribu kusema wabunge zaidi ya 8 (wanaopokea 7M per month) kutoka chama kinachopokea ruzuku na misaada ya nje kuchangisha M350 ili kuwin the public ni fedheha kubwa.

Hio nguvu ya kuchangisha tunaomba waianze kwenye shughuli za maendeleo kwenye majimbo yao yaliyotelekezwa.

Usijibu kwa hisia nchi yetu sote,pande zote zinaweza kukosea.

Ahsante.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesikia Mashinji amechangiwa na Wanachama wa CCM milioni 30 hii imekaaje ??@luqman mohamedy
 
Mbn jiwe huwa anawachangisha watu kwa lazima kwenye ziara zake !? Mbna mliwachangisha wajasilia Mali twenty kwa kila kichwa mpaka sasa hatujui zilifanya nn !?! Acheni anayetaka kuchanga achangie !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siamini na hainiingii akilini wanasiasa wote wale na mali wanazomiliki wameshindwa kulipa hizo pesa za hukumu.

Ninachokiamini hawa jamaa wanajaribu kutuaminisha wao ni wanyonge na masikini kwahiyo waonewe huruma.

Shangingi mbili zinatosha kutoa hiyo pesa, hakukuwa na sababu ya kuomba michango kuongopea watu nyie ni maskini.

Mimi sio na sitaki kumsemea hakimu ila ninachojaribu kusema wabunge zaidi ya 8 (wanaopokea 7M per month) kutoka chama kinachopokea ruzuku na misaada ya nje kuchangisha M350 ili kuwin the public ni fedheha kubwa.

Hio nguvu ya kuchangisha tunaomba waianze kwenye shughuli za maendeleo kwenye majimbo yao yaliyotelekezwa.

Usijibu kwa hisia nchi yetu sote,pande zote zinaweza kukosea.

Ahsante.



Sent using Jamii Forums mobile app
Cheki na mudy akupe furaha rohoni,sisi mpka mda huu hesabu inasoma 270m.
Ikikuuma sana nenda police chumbageni utamkuta mudy akupe furaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom