CHADEMA kuanika kilichotokea Chalinze leo

CHADEMA kuanika kilichotokea Chalinze leo

Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema leo kitatoa kauli ya awali kwa umma kupitia vyombo vya habari juu ya uchaguzi mdogo wa Chalinze ambapo kimebaini njama very serious ambazo zimetumika kupika na kutengeneza ushindi wa CCM.

Akizungumza kwa ufupi Msemaji wa chama hicho Tumaini Makene amesema Kama mgombea wa chama hicho na chama chenyewe walikuwa wanakubalika kama wanavyosema, kwa nini zimetumika njama hizo?

Makene amesema taarifa watakayoitoa itaanika ukweli wote wa yaliyotokea Chalinze
Katika mahakama kumbukumbu za kesi hwekwa na huwa zinatumika kaika kutoa uamuzi kwa kesi zitakazotokea hata baada ya miaka mingi.Tumeshuhudia reference zikifanyika kwa kesi za miaka hata 50 iliyopita.
Ni vyema kuna kuna ushahidi wa kutosha tamko na mbinu zilizotumika kuwekwa hadharani ili angalau chaguzi zinazokuja tuwe na reference.
Hapakuwa na jinsi ya CDM kushinda Chalinze (ilikuwa sawa na kuipindua serikali) na ndio maana mpaka Rais wa Zanzibar alifika.Kushindwa kwa RIdhwani lingekuwa pigo kubwa kwa CCM kwa serikali ya babake jambo ambalo hakuna mtu katika mfumo wetu huu angekubali.
 
Chadema ndo nini? Hawa marehemu au? Nisaidieni jamani chadema ndo nn?
 
Hilo ni jema nadhani pia mmefuata ushauri wangu kwamba baada ya kipigo cha Chalinze sasa mtakuja na majumuisho ya kuanzia Chopa 3 kata 3 kisha mtawaambia misukule yenu kipigo cha Kalenga na Mzungu mweusi Mgimwa Resource zote za Chama kuanzia wabunge,chopa,magari na nguvu kazi toa Arusha na Moshi hatimaye kuambulia kura 5000 mtasema pia kipi kilichowapata Chalinze kuambulia 10% ya kura zilizopigwa ila sitaki msingizie Uboreshaji wa daftari coz waliojiandikisha wakiwa na miaka 18 sasa wana 22 na waliojiandikisha wakiwa na miaka 20 sasa wana miaka 24 kwa hiyo vijana kibao wapo ktk daftari la sasa nadhani ukija uchaguzi wowote mwingine mtapata 5% watu wanapiga deal tu.

kama unakumbukumbu mwaka 2010 vituo vilikuwa 286 vipi 2014 viwe 288 hivi 2 vimetoka wapi? na uruhusiwi ukiwa eneo la kupigia kura kusema umempigia nani raic akafanya hivo na uruhusiwi ku2mia magari ya umma ufanyia kampeni ila salma kikweti ka2mia magari ya ikulu kumpigia kampen mtt wake
 
Hivi Chaga dema,huwa hamuoni aibu kwa Ummma? hivi mishipa ya aibu hakuna?
 
Back
Top Bottom