Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema leo kitatoa kauli ya awali kwa umma kupitia vyombo vya habari juu ya uchaguzi mdogo wa Chalinze ambapo kimebaini njama very serious ambazo zimetumika kupika na kutengeneza ushindi wa CCM.
Akizungumza kwa ufupi Msemaji wa chama hicho Tumaini Makene amesema Kama mgombea wa chama hicho na chama chenyewe walikuwa wanakubalika kama wanavyosema, kwa nini zimetumika njama hizo?
Makene amesema taarifa watakayoitoa itaanika ukweli wote wa yaliyotokea Chalinze
Akizungumza kwa ufupi Msemaji wa chama hicho Tumaini Makene amesema Kama mgombea wa chama hicho na chama chenyewe walikuwa wanakubalika kama wanavyosema, kwa nini zimetumika njama hizo?
Makene amesema taarifa watakayoitoa itaanika ukweli wote wa yaliyotokea Chalinze
Last edited by a moderator: