WAFUASI na Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kinondoni wamemtaka Freeman Mbowe, Mwenyekiti Mstaafu wa chama hicho, kutoka hadharani kueleza kama anaubariki upande wa chama hicho unaodaiwa kuzua mpasuko ndani ya chama hicho (G55), au hana baraka nao. Aidha viongozi hao wameshangazwa na ukimya wa kiongozi huyo pamoja na kutoshiriki shughuli za ujenzi wa chama.
WAFUASI na Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kinondoni wamemtaka Freeman Mbowe, Mwenyekiti Mstaafu wa chama hicho, kutoka hadharani kueleza kama anaubariki upande wa chama hicho unaodaiwa kuzua mpasuko ndani ya chama hicho (G55), au hana baraka nao. Aidha viongozi hao wameshangazwa na ukimya wa kiongozi huyo pamoja na kutoshiriki shughuli za ujenzi wa chama.
Kuna hii nukuu ilitolewa kabla ya huo uchaguzi wa ndani.
"Hakuna chama cha siasa chenye akili duniani kinaweza ruhusu Mwenyekiti na Makamu wake wakashindana hata kama kuna Demokrasia".
Haya yanayotokea hata angeshinda Mbowe yangetokea tu,nyuma ya hii hamahama kuna mtu ndiyo maana wote utaona hawasemi wataelekea wapi mpaka huyo mtu atakapoibuka na kumaliza pambano.
Kama hana "lazima ya kusema", acha wanao sema wajazie kwenye doti doti ambazo angepashwa kuzijazia yeye.
Yaani huoni ajabu ya mtu ambaye heshima na sifa zote alizo wahi kuwa nazo zikitokana na chama; halafu ghafla hana lolote la kusema juu ya chama kilichompa sifa hizo?
WAFUASI na Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kinondoni wamemtaka Freeman Mbowe, Mwenyekiti Mstaafu wa chama hicho, kutoka hadharani kueleza kama anaubariki upande wa chama hicho unaodaiwa kuzua mpasuko ndani ya chama hicho (G55), au hana baraka nao. Aidha viongozi hao wameshangazwa na ukimya wa kiongozi huyo pamoja na kutoshiriki shughuli za ujenzi wa chama.
Kama kusoma hujui hata picha huoni? Hivi kauli za G-55 na wote wanaojiondoa zinahitaji tena Mbowe aseme nani yuko nyuma yao? Yeye ndiye amekabidhiwa fuko la kugharamia hiyo operesheni. Hii operesheni inaundwa na utatu ambao ni TISS, CCM na Mbowe mwenyewe