CHADEMA kinazidi kupoteza umakini

CHADEMA kinazidi kupoteza umakini

mipasho tumwachie hadija kopa km siasa wamezichoka bora wajibadili kuwa bendi ya taarabu

Ukishaandikaga utumbo huwa unaamua kuchangia mwenyewe. Unajua nyie WALIBERALI mna matatizo sana. Mipasho si ni kwa ajili ya mashostito lakini? Sasa CDM wanahusikaje?
 
nilini mlishawahi kukiri CDM ni makini mpaka leo useme wanapoteza umakini,CCM au CUF jiangalieni na mkubali kuwa CDM kimeleta mabadiliko Nchini kwa kila rika,watu sasa wanahoji na wanataka kujua rasilimali zao zinatumikaje CCM na wapambe wao vichwa vinawauma,kumbukeni jana haiwezi kuwa sawa na leo tarehe zinabadilika na nyinyi kubalini kubadilika.....2015 sio mbali hapa ndio mtaona mshahara wa dhambi zenu kama hamtasaidiana kama mlivyokiri majuzi msikitini.
 
nilini mlishawahi kukiri CDM ni makini mpaka leo useme wanapoteza umakini,CCM au CUF jiangalieni na mkubali kuwa CDM kimeleta mabadiliko Nchini kwa kila rika,watu sasa wanahoji na wanataka kujua rasilimali zao zinatumikaje CCM na wapambe wao vichwa vinawauma,kumbukeni jana haiwezi kuwa sawa na leo tarehe zinabadilika na nyinyi kubalini kubadilika.....2015 sio mbali hapa ndio mtaona mshahara wa dhambi zenu kama hamtasaidiana kama mlivyokiri majuzi msikitini.

mbn povu linakutoka
 
Dah!!! Ama kweli akili ni nywele kila mtu ana zake. Na huyu ndiye Mbunge mtarajiwa 2015!!!!

Chadema hawajawahi kuwa makini, ila watu walikuwa hawajawajua tu.

Kuna ule usemi unaosema "ni heri kufunga mdomo wako udhaniwe mjinga kuliko kuufungua na kuondoa shaka juu ya hilo". Chadema sasa wamefungua mdomo, hakuna tena shaka kuwa chadema ni SIFURI...
 
Leo wa Liberal wamejimwaga kwenye jukwaa mpaka wanatia kinyaa,endeleen na milengo yenu!cdm hamtoiweza.
 
kwa mwenedo wa chama cha chadema ulivyo sasa kweli hakina umakini tena wamelewa sifa sasa wamegeuk kutojali jambo lolote ambalo ni hatari kama lugha za kuudhi na matusi. lazima viongozi wa chadema wajitafakari they are going to grave

Siamini km huyu anajua hatari maana yake ni nini ....kwanza maoni mengi ni kwamba eti kuna matusi yaliyotajwa na CDM.... inashangaza hawa watu wanathubutu hata kutoa maoni yao.....

Tuanze na Mh. Lipumba yeye alidiriki kusema "kuna Chama kimoja kinataka kutawala nchi hii na kinashirikiana na nchi zinazo dharau Uislam" ... kila mtu alijua anamaana gani kwani kauli yake ni dhahiri sana ililenga CDM .... watu tukajiuliza kushirikiana na nchi au Chama fulani maana yake ni kukubaliana na mshirika wako 100/100? .... ndio likaja la Bungeni.....ni dhahiri CUF wanashirikiana na waliberali wanaunga mkono ndoa za jinsia moja..."TUSI HAPO NI NINI"...?

Kwa ufafanuzi wa CUF ni kwamba hawaamini ktk msimamo wa waliberali ktk ndoa za jinsia moja .... basi Mh. Lipumba amepata jibu kutoka waheshimiwa wenzake kuwa siyo sahihi kuamini CDM hawathamini Uislam kwa kishirikiana na nchi zinazochukuliwa hivyo....! Kilicho fanyika bungeni ni wabunge wa CUF kutaharuki na kuanza kitukana waziwazi .,..ajabu eti wachangia mada wanaamini wale walikuabWabunge wa CHADEMA .... !
 
Siamini km huyu anajua hatari maana yake ni nini ....kwanza maoni mengi ni kwamba eti kuna matusi yaliyotajwa na CDM.... inashangaza hawa watu wanathubutu hata kutoa maoni yao.....

Tuanze na Mh. Lipumba yeye alidiriki kusema "kuna Chama kimoja kinataka kutawala nchi hii na kinashirikiana na nchi zinazo dharau Uislam" ... kila mtu alijua anamaana gani kwani kauli yake ni dhahiri sana ililenga CDM .... watu tukajiuliza kushirikiana na nchi au Chama fulani maana yake ni kukubaliana na mshirika wako 100/100? .... ndio likaja la Bungeni.....ni dhahiri CUF wanashirikiana na waliberali wanaunga mkono ndoa za jinsia moja..."TUSI HAPO NI NINI"...?

Kwa ufafanuzi wa CUF ni kwamba hawaamini ktk msimamo wa waliberali ktk ndoa za jinsia moja .... basi Mh. Lipumba amepata jibu kutoka waheshimiwa wenzake kuwa siyo sahihi kuamini CDM hawathamini Uislam kwa kishirikiana na nchi zinazochukuliwa hivyo....! Kilicho fanyika bungeni ni wabunge wa CUF kutaharuki na kuanza kitukana waziwazi .,..ajabu eti wachangia mada wanaamini wale walikuabWabunge wa CHADEMA .... !

umetoka usingizini au ni akili za kupewa
 
chama cha kibabe matusi mipasho enzi izo zimepita
 
Sifa gani hizo unazisema wamelewa?.

CHADEMA hawajawahi kupata sifa kutoka kwa watu waliomakini na waelewa wa mambo magumu.

Hawa jamaa na hasa viongozi wake fulani, wanajitwika sifa ambazo hawana. Kama wajinga ndiyo wanaowasifia, basi hata wanaosifiwa watakuwa pia nao ni wajinga.

It fitted simuliza ya ndege kuluka angani.
 
kwa mwenedo wa chama cha chadema ulivyo sasa kweli hakina umakini tena wamelewa sifa sasa wamegeuk kutojali jambo lolote ambalo ni hatari kama lugha za kuudhi na matusi. lazima viongozi wa chadema wajitafakari they are going to grave

Tangu Nizaliwe Cjawah Kuckia Neno Kusagana Au Shoga Likitamkwa Bungen Ni Zahri Kua Hawa Cdm Wanafaa Kua Waimba Taarabu Wakapeane Mipasho Na Mashauz
 
kwa mwenedo wa chama cha chadema ulivyo sasa kweli hakina umakini tena wamelewa sifa sasa wamegeuk kutojali jambo lolote ambalo ni hatari kama lugha za kuudhi na matusi. lazima viongozi wa chadema wajitafakari they are going to grave

Mbona hueleweki mkuu?Shusha nondo ueleweke hoja zako ni za kitoto mno ni kama vile ulikurupuka usingizini.Jipange!
 
Sifa gani hizo unazisema wamelewa?.

CDM hawajawahi kupata sifa kutoka kwa watu waliomakini na waelewa wa mambo magumu.

Hawa jamaa na hasa viongozi wake fulani, wanajitwika sifa ambazo hawana. Kama wajinga ndiyo wanaowasifia, basi hata wanaosifiwa watakuwa pia nao ni wajinga.

It fitted simuliza ya ndege kuluka angani.

Unawazungumzia wasomi gani mkuu?Watu wengi waliosoma wakaelimika hawaiungi mkono CCM hao walioko CCM ni wachumia tumbo na wanaoitegemea CCM kuendesha maisha yao ya kila siku au wale waoga wanaojiunga CCM kimaslahi ila mioyoni mwao ni CHADEMA safi.Jipange!
 
Unawazungumzia wasomi gani mkuu?Watu wengi waliosoma wakaelimika hawaiungi mkono CCM hao walioko CCM ni wachumia tumbo na wanaoitegemea CCM kuendesha maisha yao ya kila siku au wale waoga wanaojiunga CCM kimaslahi ila mioyoni mwao ni CHADEMA safi.Jipange!
Hizo unazisema hi hisia zako ambazo hazitofautiani na akili za kibavicha.

Mimi ninasema nikiwa nabebwa na data ziliziko mezani. Kama Watanzania 5,276,827= 61.17% ndani ya watu 8,626,283 waliopiga kura mwaka 2010 na kumpa ugombea urais wa CCM wanaweza kuwa ni wachumia tumbo na kimaslahi, acha iendelee kuwa hivyo. Hao "wasomi" wako acha waendelee kuwa wasomi
 
Watakuwa makini2015

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom