assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
kwa mwenedo wa chama cha CHADEMA ulivyo sasa kweli hakina umakini tena wamelewa sifa sasa wamegeuk kutojali jambo lolote ambalo ni hatari kama lugha za kuudhi na matusi. lazima viongozi wa CHADEMA wajitafakari they are going to grave