mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,548
Zitto ni shujaa na mzalendo.....lowasa amepitiliza kutoka mla rushwa hadi ufisadi.....yumkini kawaambukiza hata wakweze.Haya kachukue buku 7 au msalimie mtuhumiwa wa rushwa zito kabwe
Zitto ni shujaa na mzalendo.....lowasa amepitiliza kutoka mla rushwa hadi ufisadi.....yumkini kawaambukiza hata wakweze.Haya kachukue buku 7 au msalimie mtuhumiwa wa rushwa zito kabwe
Ngoja nikanywe bia kwi kwi kwi kwi kwivkwi
Ruzuku ya chama imeongezeka kwa sasa ni asilimia inayokaribiana na ccm baada ya kupata karibu 40% ya kura zote za uraisNi kweli hayo unayoyasema. Lakini hayo yamepatikana baada ya msingi alioweka Dr. Slaa kama katibu mkuu, na msingi ule aliendeleza naibu katibu Mkuu Salum Mwalimu. Niambie tangu uteuzi wa katibu mkuu wa saa kipi kinaonesha mwelekeo wa matumaini mapya? Hayo yote unayoongelea muda si mrefu kwa hali jinsi ilivyoanza kuonekana, yatabaki hadithi. Labda wabunge maarufu kina Lisu wafanye juhudi binafsi ya kujibakiza mjengoni. Lakini wale goigoi wote wanaotegemea nguvu ya chama iwe wabunge au madiwani wasahau kabisa.