Ni mawazo na mtazamo wako! au umeletewa tu na kuagizwa uandike kama ilivyo! Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako.kuna mnyama anapenda kula nyama ila huwa no muoga kwa wakati mwingine akion MTU BA's huja nyuma akizanimkono utadondoka apate chakula
chama cha siasa makini huandaa Sera na mikakati, kuandaa viongozi imara kuanzia ngazi ya mtaa had I ngazi ya taifa,kujenga ofis imarana kuwalipa viongozi wa ngazi chini ili wasihujumu chama kwanjaa walionayo.
pia kutangaza Sera na mikakati mbadala ya kuwafanya wananchi wavutike na wachague wagombea kwa Sera na mikakati.
Aibu kubwa ni kuwa Chadema inaiishi kwa matukio. Richmond alishikiabango Dk slaa ss escrow imesaidia kupata baadhi ya wenyeviti wa mitaa na wajumbe. km ulisikiliza kampeni za chadema MTU hasemi Sera ila escrow hivo so kura km umeeleza Sera wananchi wakakubali Bali wanapiga kura kwa anger.
ndio maana pamoja na skendo zote growth rate ya chadema ni10%.hivo mpk ifike 51% itachukua 50years.
vivo chadema wanaishi kama fisi pori kusubiri skendo ili iwe manifesto je kusipotokea skendo.??
think critically
Argue don't shout!!!!
Na nyie mnavizia nini? Rushwa, ufisadi na wizikuna mnyama anapenda kula nyama ila huwa no muoga kwa wakati mwingine akion MTU BA's huja nyuma akizanimkono utadondoka apate chakula
chama cha siasa makini huandaa Sera na mikakati, kuandaa viongozi imara kuanzia ngazi ya mtaa had I ngazi ya taifa,kujenga ofis imarana kuwalipa viongozi wa ngazi chini ili wasihujumu chama kwanjaa walionayo.
pia kutangaza Sera na mikakati mbadala ya kuwafanya wananchi wavutike na wachague wagombea kwa Sera na mikakati.
Aibu kubwa ni kuwa Chadema inaiishi kwa matukio. Richmond alishikiabango Dk slaa ss escrow imesaidia kupata baadhi ya wenyeviti wa mitaa na wajumbe. km ulisikiliza kampeni za chadema MTU hasemi Sera ila escrow hivo so kura km umeeleza Sera wananchi wakakubali Bali wanapiga kura kwa anger.
ndio maana pamoja na skendo zote growth rate ya chadema ni10%.hivo mpk ifike 51% itachukua 50years.
vivo chadema wanaishi kama fisi pori kusubiri skendo ili iwe manifesto je kusipotokea skendo.??
think critically
Argue don't shout!!!!
Chadema ni chama cha MATUKIO
Matukio yanayoleta tija kwenye taifa lenye mkoloni mweusi
Chama cha siasa makini huandaa Sera na mikakati, kuandaa viongozi imara kuanzia ngazi ya mtaa had I ngazi ya taifa,kujenga ofis imarana kuwalipa viongozi wa ngazi chini ili wasihujumu chama kwanjaa walionayo
.
Pia kutangaza Sera na mikakati mbadala ya kuwafanya wananchi wavutike na wachague wagombea kwa Sera na mikakati.
Aibu kubwa ni kuwa CHADEMA inaiishi kwa matukio. Richmond alishikiabango Dk slaa ss escrow imesaidia kupata baadhi ya wenyeviti wa mitaa na wajumbe. km ulisikiliza kampeni za chadema MTU hasemi Sera ila escrow hivo so kura km umeeleza Sera wananchi wakakubali Bali wanapiga kura kwa anger
.
Ndo maana pamoja na skendo zote growth rate ya chadema ni10%.hivo mpk ifike 51% itachukua 50years.
vivo CHADEMA wanaishi kama fisi pori kusubiri skendo ili iwe manifesto je kusipotokea skendo.??
think critically
Argue don't shout!!!!
Elimu bure wakati jana wamewavunja miguu wadogo zetu kule UDOM waliokuwa wanadai posho zao. Wataweza kutoa elimu bure??kabisa kwakuwa chadema inaishi kwa kuvizia skendo basi ccm wasifanye skendo watakuwa wameiua chadema lakini kwa upumbavu huu wa ccm kuwa eti mwaka 2016 elimu bure wakati kikwete amemaliza muda wake bila kufanya hivyo mbaya zaidi akiongeza gharama kibao mara pesa ya mlinzi,majengo madawati, mitihani yaani ni use mtupu..