Waalianzisha harakati za ufisadi serikali ikapepesuka mpaka ikavunjwa na waziri mkuu kujiuzulu,wamekuja na maandamano nchi nzima CCM ikapepesuka,mpaka katibu mkuu kujiuzulu,CCM fumu fumu...wamevunjaaa.......ama kweli CDM chama makini...
Umesahau issue ya katiba mpya. Ingawa Kikwete anataka kuwahadaa wananchi kwenye hili kama draft ya mswaada wake inavyoonyesha. Lakini upepo unaendea vibaya kwenye mijadala ya mwanzo tu.
Waalianzisha harakati za ufisadi serikali ikapepesuka mpaka ikavunjwa na waziri mkuu kujiuzulu,wamekuja na maandamano nchi nzima CCM ikapepesuka,mpaka katibu mkuu kujiuzulu,CCM fumu fumu...wamevunjaaa.......ama kweli CDM chama makini...