Man 4 M4C
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 743
- 114
CDM kata ya mtibwa inachanga mbuga balaa,ipo chini ya kamanda Aly Bananga na pia Alikuwepo Mh Cecilia Paleso. Leo wamefanya mkutano kambini kwa wavunaji na wamechangiwash elfu 80. Hali inakwenda vema sana. Lungo walichangiwa hadharani,Madizini walichangiwa 270,000; kunke walichangiwa,mikonga kila kijiji. Na mashishiemu na yenyewe yameamua kuandika barua za kuomba michango .........................mbona watajiju.......................