Jimama moja jeupe lenye msambwanda flani hivi
Buhigwe nasikia anatarajiwa wa fedha
Hahaahaaaa.......Mkuu kumbe tupo wote hapa kasudeco Mimi nipo hapa kaunta nachaji simu
Pole mkuu jimama linazidi kunawiri kila kukicha so unajua kiyoyozi kikubali Mzee baba.Huyo huyo, halafu mimi ndiyo nilikuwa eti nambembeleza warudiane na jamaa.
Miaka imeenda aisee, nimesoma naye darasa moja, tumekuja kunyanganywa mzigo tulivyomaliza six.
ndio mtarajiwa wa maeneo yale
Pole mkuu jimama linazidi kunawiri kila kukicha so unajua kiyoyozi kikubali Mzee baba.
Aisee kila mara yupo Kasulu na amejenga kabisa kambi yake motel
Hapo ndiyo utaipenda JF. Issue ya Kasulu watu wanashusha nondo za uhakika ambazo huwezi kuzipata kwingine popote pale.
Pamechoka ni kichaka cha kumalizia shida za watu wakwereAisee, muda sana Motel yule mmiliki wake alikuwa UDSM.
Sina taarifa zake muda.
Kwa Tanzania nadhani JF kwa sasa iko kila kona. Maana kwa sasa ndiyo chombo pekee cha taarifa unachoweza kupata taarifa isiyochujwa.
Pamechoka ni kichaka cha kumalizia shida za watu wakwere
Sahihi mkuuNaam Mkuu ndiyo sababu imezidi kuwa maarufu sana ndani na nje ya nchi.
Naam Mkuu ndiyo sababu imezidi kuwa maarufu sana ndani na nje ya nchi.
Kabisa, ni jambo la kuwashukuru kina Melo aisee.
Wanatupigania kwenye swala zima la taarifa.