mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Uongozi wa juu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Viktoria umetengua uteuzi wa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chama hicho Susanne Maselle ikiwa ni adhabu ya kukaidi amri ya chama hicho kuzuia wabunge wake wasihudhurie vikao vya Bunge na Kamati za Bunge.