Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Pamoja na shida zote za mwanadamu. Raha pamoja na starehe mbalimbali. Ushoga na ndoa za jinsia moja ni kitu kibaya kinachomchukiza Mungu pia. Inasemekana kuwa chama chetu hiki kikuu cha upinza yaani CHADEMA kinapata misaada mingi kutoka Uingereza. Nchi ambayo kupitia waziri wake mkuu wameweka mashariti kwa nchi za kiafrika zilizo katika jumuiya ya madola iwapo kama zinataka kuendelea kupewa misaada basi zikubali ndoa ya jinsia moja. Sisi watu ambao hatuna itikadi ya vyama huwa tunaangalia maslahi ya nchi zaidi bila ya kujali ni chama gani kitatawala. Kwa hili mmejiandaa vipi kukabiliana nalo iwapo kama tutawapa dhamana ya kushika hatamu za uongozi wa nchi.