Jig saw fit
Member
- Nov 30, 2011
- 89
- 25
hilyo thread haina kichwa wala miguu,
hilyo thread haina kichwa wala miguu,
ina maana Tz,hakuna ushoga?na kama wapo wamesababishwa na Chadema!kama kweli huna chama,unaongea kwa issue ya kitaifa,kwa nini husemi misaada inayopata Nch toka Uk.umeishupalia Cdm.UNALO LAKO MOYONI!ila c vizuri kukua kichwa pekee!ni ushauri tu.Pamoja na shida zote za mwanadamu. Raha pamoja na starehe mbalimbali. Ushoga na ndoa za jinsia moja ni kitu kibaya kinachomchukiza Mungu pia. Inasemekana kuwa chama chetu hiki kikuu cha upinza yaani CHADEMA kinapata misaada mingi kutoka Uingereza. Nchi ambayo kupitia waziri wake mkuu wameweka mashariti kwa nchi za kiafrika zilizo katika jumuiya ya madola iwapo kama zinataka kuendelea kupewa misaada basi zikubali ndoa ya jinsia moja. Sisi watu ambao hatuna itikadi ya vyama huwa tunaangalia maslahi ya nchi zaidi bila ya kujali ni chama gani kitatawala. Kwa hili mmejiandaa vipi kukabiliana nalo iwapo kama tutawapa dhamana ya kushika hatamu za uongozi wa nchi.
ina maana Tz,hakuna ushoga?na kama wapo wamesababishwa na Chadema!kama kweli huna chama,unaongea kwa issue ya kitaifa,kwa nini husemi misaada inayopata Nch toka Uk.umeishupalia Cdm.UNALO LAKO MOYONI!ila c vizuri kukua kichwa pekee!ni ushauri tu.
Mleta mada huwa anamtindio wa ubongo, akijitahidi kuwaza sana basi huja na majibu kama haya, halafu hujisifu ati na yeye ni Great Thinker! kweli dunia haiishiwi maajabu.We kweli nduza uliyekurupukia mada, swali limeulizwa kwa chadema huko unaenda wapi. Tayari vyupa vinasumbua si ulale. Haya ndo matatizo ya kulewa bila kula.
Chadema bwana mkiguswa! Aisee, teh teh teh!