Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,929
Ushahidi ni Jecha event.Ushahidi wa hilo uko wapi?
Siku zote wanasiasa wa Afrika hawakubali walishindwa kihalali kwa uwezo wa mshindani.
Ingekuwa ni nchi nyingine leo hii jecha angekuwa ameshakimbia nchi.