CHADEMA kama bado mnazuzuka na mafuriko, nawakumbusha tu huyu ni Dkt. Slaa 2010

Ushahidi wa hilo uko wapi?
Siku zote wanasiasa wa Afrika hawakubali walishindwa kihalali kwa uwezo wa mshindani.
Tallying center ya UKAWA 2015 ilivamiwa na polisi na kuporwa PC zote. LHRC wakiwa chini ya mwavuli wa waangalizi wa chaguzi walipo tally matokeo yalionyesha Lowassa kaongoza kwa mbali. Ila tuliona walivamiwa ofisi zao PC zao zikaporwa na mpaka leo hazijarudishwa. Sasa kma mtu wao alishinda why wapore database za wengine ilihali ni majumuisho binafsi sio ya NEC? walikuwa wanaficha nini?

Mfanano wa kura kwenye majimbo kadhaa, mfano 2010 majimbo zaidi ya 6 yalikuwa na tarakimu zinazofanana za kura za Urais kati ya Slaa na kikwete!! Coincidence?

2015 tuliona majimbo mfano Tunduma na Bumbuli kura za Urais ni nyingi kuliko za ubunge. Achilia mbali figisu za vituoni hasa kwenye kujumuisha matokeo. Kiukweli moja ya chanzo ni mawakala wanahongwa sana na CCM afu fomu zinachezewa, still masanduku yanaongezwa na huna la kufanya.

Mambo ni mengi ila ushahidi wa kimazingira unaprove CCM huwa wanaiba kura.
 
2010-15; Kuna kitu huelewi kabisa, Dr Slaa alifanya operation za chama karibu kila wiki kiufupi walikuwa na M4C kila kukicha kwahiyo walikua na platform kubwa sana ya kuwafikia wananchi.
Let alone CHADEMA ilijengwa bungeni enzi hizo lipo live watu wakiona michango ya Dr Slaa,Zitto,Wangwe na Mdee waliona haja ya kuwaongezea nguvu.

2020: Situation ya sasa ni tofauti, Lissu hakua active politician Tz tokea ashambuliwe.

CHADEMA haikua active majukwaani kupitia M4C sababu mikusanyiko ya kisiasa ilifutwa ikabakia CCM pekee.

Bunge lililowapa umaarufu CHADEMA halikua live tena wachache wenye mitandao ndio waliibia clip fupi YouTube.

Hivyo ilikua anticipated CHADEMA imekufa, imekimbiwa na wabunge, sijui imekosa ushawishi. Sasa kiukweli hakuna aliyetegemea kuwa Lissu atapata platform kma hii ya maelfu ya watu. So tuwe wakweli kupata nyomi awamu ya 5 ni "dili" kuliko awamu zilizopita kutokana na sababu tajwa hapo juu.

Kuhusu Lowassa na Dk Slaa kugaragazwa. Lissu amekiri hao wote walishinda ila walipoporwa ushindi ''walimuachia Mungu''. Ikimaanisha yeye anafikiria radical approach kuliko hao wenzake. Till then ulinganisho wako hauna maana yeyote upo nje ya muktadha kabisa.
Sema tu chadema ile ilikuwa na ajenda na walitumia madhaifu mengi ya ccm ikiwemo huduma duni za afya, rushwa, umeme, ufisadi, kuhujumiwa mashirika na mengine kufa ikiwemo ATC, maji,ujambazi kukithiri.

Chadema hii haina ajenda wala haina mgombea..mgombea muda wote atamu attack aliyepo madarakani ambaye amegusa maeneo yote na kila mtanzania kaguswa. Ukianzia usafiri kagusa wote maskini na matajiri kwa maana ya barabara bora, viwanja vya ndege kila mahali, vivuko na meli kila mahali.

Kibiashara kaondoa baadhi ya kodi kwa wafanyabiashara wakubwa baada ya kufanya nao kikao na kaondoa kero nyingi, kwa maskini wakiwemo mama lishe kawajengea mazingiravya kufanya kazi popote nchi nzima bila kubugudhiwa..leo hii machinga anaweza kufanya biashara hadi barabara za mitaani za masaki bila hata kuulizwa.

Na mengineyi mengi.
 
Neno lako lipo karibu kabisa na ukweli ila hujali establish ipasavyo,ni hivi,Viongozi wa kiafrika huwa hawakubali kuwa wameshindwa,na ndicho walichokifanya watawala kwenye chaguzi hizo zilizopita,ushahidi ni maandishi yako hapo.
Until the losers bring evidence which shows they won but they were robbed of victory, we have to admit they lost fairly and deservedly.
 
Sema tu chadema ile ilikuwa na ajenda na walitumia madhaifu mengi ya ccm ikiwemo huduma duni za afya, rushwa, umeme, ufisadi, kuhujumiwa mashirika na mengine kufa ikiwemo ATC, maji,ujambazi kukithiri.

Chadema hii haina ajenda wala haina mgombea..mgombea muda wote atamu attack aliyepo madarakani ambaye amegusa maeneo yote na kila mtanzania kaguswa. Ukianzia usafiri kagusa wote maskini na matajiri kwa maana ya barabara bora, viwanja vya ndege kila mahali, vivuko na meli kila mahali.

Kibiashara kaondoa baadhi ya kodi kwa wafanyabiashara wakubwa baada ya kufanya nao kikao na kaondoa kero nyingi, kwa maskini wakiwemo mama lishe kawajengea mazingiravya kufanya kazi popote nchi nzima bila kubugudhiwa..leo hii machinga anaweza kufanya biashara hadi barabara za mitaani za masaki bila hata kuulizwa.

Na mengineyi mengi.
Si kweli agenda ni nyingi sana awamu hii mfano suala la ajira linawagusa vijana million 20 na hakuna alichofanya JPM kusolve hili tatizo zaidi ameua sekta binafsi kisa serikali inataka kufanya biashara. Refer kuamuru pesa za serikali zitolewe kwenye akaunti za benki binafsi, ama kutaka majengo ya serikali yajengwe na TBA, hku NIC ikiua ushindani kwenye makampuni binafsi ya Bima. Na ilani ya CHADEMA imegusia hilo, bajeti mbadala iliosomwa na mdee imegusia hilo, Lissu kagusia hilo Je huoni political capital ya vijana hao zaidi ya million 20???

2. Kilimo. Lissu ulimsikia kuanzia Ikungi hadi Bariadi kalia na kilimo sana kwamba hakiakisi nchi yenye miaka 60 ya uhuru. Bajeti ya maendeleo kwa kilimo haitekelezwa hata 20% tokea JPM ashike madaraka. Ilani iliahidi kilimo cha umwagiliaje nchi nzima ila tunaona ni uongo mtupu. Sasa kwa mazingira hayo huoni ni mtaji wa kura za wakulima zaidi ya 70% ya nguvu kazi ya TZ?

Hivi hizi ajenda bado hazikupi nyomi? Bado haupati kura? Kijana asiye na ajira SGR inamsaidia nni wakati hata misumari umenunua kwa beberu? Unajua agenda za kuimaliza CCM ji nyingi sema tu platform kama enzi za Dr Slaa haipo otherwise sijaona wapi agenda zimeisha. Na siku agenda zikiisha basi ujue tumefika uchumi wa JUU
 
Kama sisi vijana tuwaza kuwa Kuna serikali ambayo tutaichagua na kutuhakikishia maisha Bora tusahau Hilo kwake hizo ni ndoto ambazo tunaaminishwa kuwa zinaweza kuwa kweli
 
2010-15; Kuna kitu huelewi kabisa, Dr Slaa alifanya operation za chama karibu kila wiki kiufupi walikuwa na M4C kila kukicha kwahiyo walikua na platform kubwa sana ya kuwafikia wananchi.
Let alone CHADEMA ilijengwa bungeni enzi hizo lipo live watu wakiona michango ya Dr Slaa,Zitto,Wangwe na Mdee waliona haja ya kuwaongezea nguvu.

2020: Situation ya sasa ni tofauti, Lissu hakua active politician Tz tokea ashambuliwe.

CHADEMA haikua active majukwaani kupitia M4C sababu mikusanyiko ya kisiasa ilifutwa ikabakia CCM pekee.

Bunge lililowapa umaarufu CHADEMA halikua live tena wachache wenye mitandao ndio waliibia clip fupi YouTube.

Hivyo ilikua anticipated CHADEMA imekufa, imekimbiwa na wabunge, sijui imekosa ushawishi. Sasa kiukweli hakuna aliyetegemea kuwa Lissu atapata platform kma hii ya maelfu ya watu. So tuwe wakweli kupata nyomi awamu ya 5 ni "dili" kuliko awamu zilizopita kutokana na sababu tajwa hapo juu.

Kuhusu Lowassa na Dk Slaa kugaragazwa. Lissu amekiri hao wote walishinda ila walipoporwa ushindi ''walimuachia Mungu''. Ikimaanisha yeye anafikiria radical approach kuliko hao wenzake. Till then ulinganisho wako hauna maana yeyote upo nje ya muktadha kabisa.
Hata enzi za kina lowasa walisema hawawezi kuibiwa lakini walishindwa wakenda zao,
Huyu ataleta wazungu wje waandamane nae.
 
Mkuu zitto junior mambo uliyo eleza upo sahihi asilimia karibu 100 lakini bado maelezo yako hayaondoi ukweli au halisia wa dhana ya mleta mada kwamba "mafuriko ya watu kwa hapa Tz hayasaidii kitu"
Ni wizi tu was kura ndiyo unaifanya ccm kuwa madarakani mpk Leo, ila kiuhalisia 2015 hayo mafuriko yalipiga sana kura kwa cdm.

Makamba anajua
 
Si kweli agenda ni nyingi sana awamu hii mfano suala la ajira linawagusa vijana million 20 na hakuna alichofanya JPM kusolve hili tatizo zaidi ameua sekta binafsi kisa serikali inataka kufanya biashara. Refer kuamuru pesa za serikali zitolewe kwenye akaunti za benki binafsi, ama kutaka majengo ya serikali yajengwe na TBA, hku NIC ikiua ushindani kwenye makampuni binafsi ya Bima. Na ilani ya CHADEMA imegusia hilo, bajeti mbadala iliosomwa na mdee imegusia hilo, Lissu kagusia hilo Je huoni political capital ya vijana hao zaidi ya million 20???

2. Kilimo. Lissu ulimsikia kuanzia Ikungi hadi Bariadi kalia na kilimo sana kwamba hakiakisi nchi yenye miaka 60 ya uhuru. Bajeti ya maendeleo kwa kilimo haitekelezwa hata 20% tokea JPM ashike madaraka. Ilani iliahidi kilimo cha umwagiliaje nchi nzima ila tunaona ni uongo mtupu. Sasa kwa mazingira hayo huoni ni mtaji wa kura za wakulima zaidi ya 70% ya nguvu kazi ya TZ?

Hivi hizi ajenda bado hazikupi nyomi? Bado haupati kura? Kijana asiye na ajira SGR inamsaidia nni wakati hata misumari umenunua kwa beberu? Unajua agenda za kuimaliza CCM ji nyingi sema tu platform kama enzi za Dr Slaa haipo otherwise sijaona wapi agenda zimeisha. Na siku agenda zikiisha basi ujue tumefika uchumi wa JUU
Katika yote uliyosema Lisu wala Membe hawajasema hata moja katika kutafuta wadhamini sasa nyomi atapataje?

Chadema ya Slaa ilikuwa na ajenda mkuu! Hii ya sasa hivi ni ya kumshambulia Magufuki zaidi.
 
2010-15; Kuna kitu huelewi kabisa, Dr Slaa alifanya operation za chama karibu kila wiki kiufupi walikuwa na M4C kila kukicha kwahiyo walikua na platform kubwa sana ya kuwafikia wananchi.
Let alone CHADEMA ilijengwa bungeni enzi hizo lipo live watu wakiona michango ya Dr Slaa,Zitto,Wangwe na Mdee waliona haja ya kuwaongezea nguvu.

2020: Situation ya sasa ni tofauti, Lissu hakua active politician Tz tokea ashambuliwe.

CHADEMA haikua active majukwaani kupitia M4C sababu mikusanyiko ya kisiasa ilifutwa ikabakia CCM pekee.

Bunge lililowapa umaarufu CHADEMA halikua live tena wachache wenye mitandao ndio waliibia clip fupi YouTube.

Hivyo ilikua anticipated CHADEMA imekufa, imekimbiwa na wabunge, sijui imekosa ushawishi. Sasa kiukweli hakuna aliyetegemea kuwa Lissu atapata platform kma hii ya maelfu ya watu. So tuwe wakweli kupata nyomi awamu ya 5 ni "dili" kuliko awamu zilizopita kutokana na sababu tajwa hapo juu.

Kuhusu Lowassa na Dk Slaa kugaragazwa. Lissu amekiri hao wote walishinda ila walipoporwa ushindi ''walimuachia Mungu''. Ikimaanisha yeye anafikiria radical approach kuliko hao wenzake. Till then ulinganisho wako hauna maana yeyote upo nje ya muktadha kabisa.
Radical approach haiwezi saidia Tanzania! Atarudi tu huko Ubelgiji na aibu yake. Ndiyo maana familia yake ameiacha huko.
 
Radical approach haiwezi saidia Tanzania! Atarudi tu huko Ubelgiji na aibu yake. Ndiyo maana familia yake ameiacha huko.

Familia iko Ubeligiji kumbe?! Huku anadanganya watoto wa wenzake kwa kuwajaza ujinga wapambane na polisi. Sugu leo kawa muhanga tayari.
 
Wewe mleta mada, hujui kuwa Dr Slaa alitamka wazi kwa kauli yake yeye mwenyewe kuwa aliambiwa na mtu wa ndani wa system kuwa alishinda ule uchaguzi wa 2010?

Na kwani hujui kuwa mwaka 2015 EL alimgaragaza Jiwe vibaya sana?, Jiwe mwenyewe anajua vizuri sana hilo!

Sema chama dola kimeshikilia vyombo vya dola ndiyo kinapindua, lakini safari hii ni mwisho wao!
 
Yes hayasaidii kama hujayatumia hvi Lowassa na Dk. Slaa kwa zile nyomi wangeitisha mikutano sambamba nchi nzima kupinga matokeo unadhani "nyomi" lisingekua na msaada wowote?

Ila Lissu kasema ikiwa ameshinda alafu akafanyiwa wizi basi atatumia vizuri hilo "nyomi" kudai haki yake. Hii ndio tofauti yake na hao waliopita.

Nadhani Lissu hana la kupoteza so akiamua hiyo approach nadhani ndio CCM wataamua moja either waue raia maelfu au watende haki. Lowassa na Dk. slaa hawakuwapa huo mtego kabisa na ndio maana wanakejeli nguvu ya "nyomi" kwenye uchaguzi.
Mh! Dada Mange anawajua vizuri watanzania walivyo.
 
Ni kweli kabisa..kwanza walitakiwa kuandaa kampeni ya watu kujiandikisha na kuhakiki taarifa zao za upigaji kura kipindi kile...
 
Mkuu zitto junior mambo uliyo eleza upo sahihi asilimia karibu 100 lakini bado maelezo yako hayaondoi ukweli au halisia wa dhana ya mleta mada kwamba "mafuriko ya watu kwa hapa Tz hayasaidii kitu"
Mbona ameeleza kuwa ndio maana lissu anafikiria approach nyingine kabisa ya kutomwachia Mungu au mwenzetu ww una uelewa toafuti na wa kwetu?.
 
2010-15; Kuna kitu huelewi kabisa, Dr Slaa alifanya operation za chama karibu kila wiki kiufupi walikuwa na M4C kila kukicha kwahiyo walikua na platform kubwa sana ya kuwafikia wananchi.
Let alone CHADEMA ilijengwa bungeni enzi hizo lipo live watu wakiona michango ya Dr Slaa,Zitto,Wangwe na Mdee waliona haja ya kuwaongezea nguvu.

2020: Situation ya sasa ni tofauti, Lissu hakua active politician Tz tokea ashambuliwe.

CHADEMA haikua active majukwaani kupitia M4C sababu mikusanyiko ya kisiasa ilifutwa ikabakia CCM pekee.

Bunge lililowapa umaarufu CHADEMA halikua live tena wachache wenye mitandao ndio waliibia clip fupi YouTube.

Hivyo ilikua anticipated CHADEMA imekufa, imekimbiwa na wabunge, sijui imekosa ushawishi. Sasa kiukweli hakuna aliyetegemea kuwa Lissu atapata platform kma hii ya maelfu ya watu. So tuwe wakweli kupata nyomi awamu ya 5 ni "dili" kuliko awamu zilizopita kutokana na sababu tajwa hapo juu.

Kuhusu Lowassa na Dk Slaa kugaragazwa. Lissu amekiri hao wote walishinda ila walipoporwa ushindi ''walimuachia Mungu''. Ikimaanisha yeye anafikiria radical approach kuliko hao wenzake. Till then ulinganisho wako hauna maana yeyote upo nje ya muktadha kabisa.
Kwa level ya akili za wana ccm wanaweza kukuelewa kweli ?
 
Back
Top Bottom